chanzo cha matatizo yoteChagua Magufuli Tanzania bora yaja.
Huyu ICC inamsubiriChagua magufuli kwa maendeleo ya kweli
Dua la kuku...Mda wenu unahesabika, soon mtatoweka.
Tukampigie kura chuma JPM! Tunataka Tz iwe Kama ulaya si ndio eeh! Hima tuchague maende5 na amani! Magu ndio mpango mzima!Plan A ikishindikana kuna plan B kuliombea life tuu taifa likombolewe
Sasa taifa likifa utakuwa umelikomboaje? Wabeligiji mmevurugwa.Plan A ikishindikana kuna plan B kuliombea life tuu taifa likombolewe
hapo umechomoa betriMimi naweka tamko rasmi la wizara ya mambo ya nje likitetea na kuwalinda mashoga Tanzania. Na wewe nope bandiko moja la Tundu Lissu likitetea ushoga .
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI | Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inapenda kuwajulisha wananchi na jumuiya ya kimataifa kupitia vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi kuhusu masuala ya ushoga yaliyoongelewa na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Dar es...www.foreign.go.tz
Adui ujinga bado anawatafuna Watanzania.Mimi naweka tamko rasmi la wizara ya mambo ya nje likitetea na kuwalinda mashoga Tanzania. Na wewe nope bandiko moja la Tundu Lissu likitetea ushoga .
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI | Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inapenda kuwajulisha wananchi na jumuiya ya kimataifa kupitia vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi kuhusu masuala ya ushoga yaliyoongelewa na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Dar es...www.foreign.go.tz
Unaumwa wewe......Hapa ile ripoti ya TWAWEZA kuwa ccm inapendwa na wajinga inadhihirika vema, mataga wamepotea humu hawaonekani.