Achana nae uyo anatafuta mashoga wenzakeMimi naweka tamko rasmi la wizara ya mambo ya nje likitetea na kuwalinda mashoga Tanzania. Na wewe nope bandiko moja la Tundu Lissu likitetea ushoga .
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI | Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inapenda kuwajulisha wananchi na jumuiya ya kimataifa kupitia vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi kuhusu masuala ya ushoga yaliyoongelewa na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Dar es...www.foreign.go.tz
Hahahaha Kuna fundi simu huku leo ana foleni wabongo wanampelekea simu zimeharibika mtandaoni hawaingii awatengenezee







Ni kuliombea life tu hakuna analofanya ni Kujaza tu vyoo vya ikuluSasa taifa likifa utakuwa umelikomboaje? Wabeligiji mmevurugwa.
Nilinajaza tu vyoo vya ikulu hamna anachofanya cha maana.Tukampigie kura chuma JPM! Tunataka Tz iwe Kama ulaya si ndio eeh! Hima tuchague maende5 na amani! Magu ndio mpango mzima!
Kweli Tz Kuna wehu! Ww ni mmoja wao! Tz Kama ulaya mitano Tena kwa jembe Magu!Nilinajaza tu vyoo vya ikulu hamna anachofanya cha maana.
Lifeee
shenzzz type unautapia mlo wa akili si bureTukampigie kura chuma JPM! Tunataka Tz iwe Kama ulaya si ndio eeh! Hima tuchague maende5 na amani! Magu ndio mpango mzima!
😂😂😂😂! Hilo linaitwa jiwe la kutupia gizani ukisikia kelele Kama hizo ulizotoa unajua limempata za pua😂😂😂😂! Pole Sana njoo hospitali utibiwe, au Basi ubadirishwe jinsia kabisa ili uwe unafanyiwa kujali! Maana hakuna kujali anayeweza mpigia kura shoga!shenzzz type unautapia mlo wa akili si bure
Hahahah kweli aiseeWeusi Wagumu Asilia, Wabishi, Watukutu, Wajuba aka Wakulu Kumwao. Ndio tunaelea elea mawinguni namna hii...
Wengi wanalalamika mitandano haipatikani. Sisi Wakulungwa tunapasua anga tu toka sehemu mbalimbali za Dunia. Tutawaletea habari za Tanzania hapa hapa JF. Mtazikuta siku Mkirudi msiwe na wasi
Hakuna kulala kuanzia muda huu tunazungusha dish kila sehemu kukamata matukio. Usawa tunaotega ni ule tunaopata bandwith kwa asilimia jiti
Tunapiga chini, tunapiga juu. Tunapiga kushoto ,tunapiga kulia. Kisha tunapiga mbele na tunapiga nyuma. Yaani hakuna kulala na kulaza bakora
Lifeee tu tumechoka kuzibua vyoo vya ikulu kila maraKweli Tz Kuna wehu! Ww ni mmoja wao! Tz Kama ulaya mitano Tena kwa jembe Magu!
Serikali ya ccm inazima lini vingamuzi ?Weusi Wagumu Asilia, Wabishi, Watukutu, Wajuba aka Wakulu Kumwao. Ndio tunaelea elea mawinguni namna hii...
Wengi wanalalamika mitandano haipatikani. Sisi Wakulungwa tunapasua anga tu toka sehemu mbalimbali za Dunia. Tutawaletea habari za Tanzania hapa hapa JF. Mtazikuta siku Mkirudi msiwe na wasi
Hakuna kulala kuanzia muda huu tunazungusha dish kila sehemu kukamata matukio. Usawa tunaotega ni ule tunaopata bandwith kwa asilimia jiti
Tunapiga chini, tunapiga juu. Tunapiga kushoto ,tunapiga kulia. Kisha tunapiga mbele na tunapiga nyuma. Yaani hakuna kulala na kulaza bakora
Visipo ziba mtakula wapi🤔!? Msije mkaanza kulialia hakuna ajira😂😂😂!?Lifeee tu tumechoka kuzibua vyoo vya ikulu kila mara
Chagua Magufuli kwa serikali ya udikteta kamiliChagua magufuli kwa maendeleo ya kweli