Wanaume wabahili na wategemezi

Wanaume wabahili na wategemezi

Uongo wewe umesema una 29 nadhani yeye ni 24 ndo maana Bado Anaishi kwao
Heeeee kasema wapi?

Umeona eeh hisia zetu?

Hawajui thread wanazokuwa wameandika nyuma zinawaumbua!!

Yaani JF kuna vitukooo...
 
ha ha nilikua nae dizain hyo nilipiga chin mapena achana nae alupendi
 
Heeeee kasema wapi?

Umeona eeh hisia zetu?

Hawajui thread wanazokuwa wameandika nyuma zinawaumbua!!

Yaani JF kuna vitukooo...
Acheni kutunga data sijasema hivo abadani yy ana 28 mie nna 27
 
Habari zenu wana jukwaa, hivi inakuaje mwanaume anakua tegemezi?? Nna huyu boyfriend naona sasa amezidi, ukweli ni kwamba Mimi nna hela na sioni shida kumpa chochote ila tunakoelekea naona anaona dezo sana...mfano: Mimi nilisafiri kikazi morogoro akaja for a visit weekend huwezi amini alikuja na nauli ya kujia tu, kukaa na outing zote alinitegemea Mimi hadi nauli ya kurudia, niliboreka kwakweli...baada ya kurudi Dar nikakuta gari yake mbovu ametumia kama 1million kutengeneza na sikumsaidia Kwa chochote akaanza kunigombeza eti ametumia ela nyingi hata simjali financially ametetereka Mimi nipo tu..na wakati ananihombeza ivo akanipora pochi akachukua elfu 50 akaemda kunywa bia bar...the other time tukatoka outing akasema hana hela nikampa laki na nusu azishike yeye tukatoka tukakaa kama 1hr then tukaondoka tulitumia kama elfu 30 tu...huwezi amino aikurudishiwa chenji...nikimdai anazingua, ivi mwanaume unakuaje hivi tho shoo moja moja anasimamia ila anavo demand mmmh...so sawa
Dida anauza ma doldo, unaweza kutumia moja wakati ukisubiri the right man, huyo mwanaume hana mapenzi na wewe, yuko kukuchuna, mwanaume anaekupenda yuko tayari hata kubeba zege ili akusaidie.
 
Heeeee kasema wapi?

Umeona eeh hisia zetu?

Hawajui thread wanazokuwa wameandika nyuma zinawaumbua!!

Yaani JF kuna vitukooo...
Tatizo lao hawatafuti wanaume bali wanatafuta wavulana ili wawanyonye na kuwaendesha kama magari (Shilole, Wema, Antie Ezekiel na hata huyu wakuswampa ni gume tu. Hivi uliona wapi mwanaume ananuna nuna kama mtoto. Si unaona hata hataki waende outing wote kule Zanzibar etc. Halafu anakuja kulalama hapa JF. Kwanza bado analelewa na mama yake aibu
 
Huyo jamaa nae bwegge hv unajisikiaje kumpora mkeo/mchumba hela?
 
Mtoa mada wewe ulishakuja na uzi unasema boyfriend anaekaa kwao anaboa....ndani yake ulisema anafanya kazi na hela anapata....leo umekuja na mpya...
 
Back
Top Bottom