Wanaume wabahili na wategemezi

Wanaume wabahili na wategemezi

Habari zenu wana jukwaa, hivi inakuaje mwanaume anakua tegemezi?? Nna huyu boyfriend naona sasa amezidi, ukweli ni kwamba Mimi nna hela na sioni shida kumpa chochote ila tunakoelekea naona anaona dezo sana...mfano: Mimi nilisafiri kikazi morogoro akaja for a visit weekend huwezi amini alikuja na nauli ya kujia tu, kukaa na outing zote alinitegemea Mimi hadi nauli ya kurudia, niliboreka kwakweli...baada ya kurudi Dar nikakuta gari yake mbovu ametumia kama 1million kutengeneza na sikumsaidia Kwa chochote akaanza kunigombeza eti ametumia ela nyingi hata simjali financially ametetereka Mimi nipo tu..na wakati ananihombeza ivo akanipora pochi akachukua elfu 50 akaemda kunywa bia bar...the other time tukatoka outing akasema hana hela nikampa laki na nusu azishike yeye tukatoka tukakaa kama 1hr then tukaondoka tulitumia kama elfu 30 tu...huwezi amino aikurudishiwa chenji...nikimdai anazingua, ivi mwanaume unakuaje hivi tho shoo moja moja anasimamia ila anavo demand mmmh...so sawa
Nilivyokusoma mimi kwa haraka haraka
Una dharau/majigambo ya wazi wazi

Nafikiri hata huyo boyfriend kashaliona hilo na anakukomesha ile ile

BTW nimependa username yako 'wakuswampa'
Kwa bed hana lolote hajui kabisaaaa
 
Habari zenu wana jukwaa, hivi inakuaje mwanaume anakua tegemezi?? Nna huyu boyfriend naona sasa amezidi, ukweli ni kwamba Mimi nna hela na sioni shida kumpa chochote ila tunakoelekea naona anaona dezo sana...mfano: Mimi nilisafiri kikazi morogoro akaja for a visit weekend huwezi amini alikuja na nauli ya kujia tu, kukaa na outing zote alinitegemea Mimi hadi nauli ya kurudia, niliboreka kwakweli...baada ya kurudi Dar nikakuta gari yake mbovu ametumia kama 1million kutengeneza na sikumsaidia Kwa chochote akaanza kunigombeza eti ametumia ela nyingi hata simjali financially ametetereka Mimi nipo tu..na wakati ananihombeza ivo akanipora pochi akachukua elfu 50 akaemda kunywa bia bar...the other time tukatoka outing akasema hana hela nikampa laki na nusu azishike yeye tukatoka tukakaa kama 1hr then tukaondoka tulitumia kama elfu 30 tu...huwezi amino aikurudishiwa chenji...nikimdai anazingua, ivi mwanaume unakuaje hivi tho shoo moja moja anasimamia ila anavo demand mmmh...so sawa
Tatizo la ugonjwa wa SIZONJE La Kukurupuka limekupata wewe pole sana
 
Habari zenu wana jukwaa, hivi inakuaje mwanaume anakua tegemezi?? Nna huyu boyfriend naona sasa amezidi, ukweli ni kwamba Mimi nna hela na sioni shida kumpa chochote ila tunakoelekea naona anaona dezo sana...mfano: Mimi nilisafiri kikazi morogoro akaja for a visit weekend huwezi amini alikuja na nauli ya kujia tu, kukaa na outing zote alinitegemea Mimi hadi nauli ya kurudia, niliboreka kwakweli...baada ya kurudi Dar nikakuta gari yake mbovu ametumia kama 1million kutengeneza na sikumsaidia Kwa chochote akaanza kunigombeza eti ametumia ela nyingi hata simjali financially ametetereka Mimi nipo tu..na wakati ananihombeza ivo akanipora pochi akachukua elfu 50 akaemda kunywa bia bar...the other time tukatoka outing akasema hana hela nikampa laki na nusu azishike yeye tukatoka tukakaa kama 1hr then tukaondoka tulitumia kama elfu 30 tu...huwezi amino aikurudishiwa chenji...nikimdai anazingua, ivi mwanaume unakuaje hivi tho shoo moja moja anasimamia ila anavo demand mmmh...so sawa
Ushauri we WAKUSWAMPA piga chini weka kifaa kingine kipya safari iendelee
 
nawaza tu kama mwanaume angekuwa anafanya hayo mambo kwa mwanamke

ungeona mapovu ya wadada wakisema kuwa huyo man ana roho mbaya, ila kwa kuwa dada mwenzao safi tu

wametongozana wenyewe waacheni waachane wenyewe

mtoa uzi umechangia kwa kiasi kikubwa bwana wako kuwa dependant
 
Ufahamu ndio unaomfanya mwanadamu atofautiana na wanyama wa porini....

Mwanadamu anapoutumia vyema ufahamu wake.....anaweza kuyatawala....vyema maisha yake na kuishi kwa raha mustarehe.....

Mwanadamu anapoyaendekeza matamanio na kuuweka pembeni ufahamu wake....basi lazima atakumbana na mabalaa makubwa maishani mwake.......

Think big......take control of your life.....
 
Kwa bed hana lolote hajui kabisaaaa
sasa huyo mwanaume gani wa mtindo huo? yani wote walie kupigwa mizinga, ye ndo awe badala yake?... na yeye ni wa DAR au?.. wewe binafsi unajivunia nini kuwa naye mwanaume ambaye anaimbwa na Vanessa Mdee kila baada ya nusu saa?... swali la mwisho mko kwenye uhusiano kwa muda gani mbaka sasa?
 
Ufahamu ndio unaomfanya mwanadamu atofautiana na wanyama wa porini....

Mwanadamu anapoutumia vyema ufahamu wake.....anaweza kuyatawala....vyema maisha yake na kuishi kwa raha mustarehe.....

Mwanadamu anapoyaendekeza matamanio na kuuweka pembeni ufahamu wake....basi lazima atakumbana na mabalaa makubwa maishani mwake.......

Think big......take control of your life.....
Umeongea vizur mkuu ebu pata Pepsi barid,I wish mtu fudenge angesoma ulichosema hpa
 
Habari zenu wana jukwaa, hivi inakuaje mwanaume anakua tegemezi?? Nna huyu boyfriend naona sasa amezidi, ukweli ni kwamba Mimi nna hela na sioni shida kumpa chochote ila tunakoelekea naona anaona dezo sana...mfano: Mimi nilisafiri kikazi morogoro akaja for a visit weekend huwezi amini alikuja na nauli ya kujia tu, kukaa na outing zote alinitegemea Mimi hadi nauli ya kurudia, niliboreka kwakweli...baada ya kurudi Dar nikakuta gari yake mbovu ametumia kama 1million kutengeneza na sikumsaidia Kwa chochote akaanza kunigombeza eti ametumia ela nyingi hata simjali financially ametetereka Mimi nipo tu..na wakati ananihombeza ivo akanipora pochi akachukua elfu 50 akaemda kunywa bia bar...the other time tukatoka outing akasema hana hela nikampa laki na nusu azishike yeye tukatoka tukakaa kama 1hr then tukaondoka tulitumia kama elfu 30 tu...huwezi amino aikurudishiwa chenji...nikimdai anazingua, ivi mwanaume unakuaje hivi tho shoo moja moja anasimamia ila anavo demand mmmh...so sawa
usawa tatizo.kapinge Beijing China .utapata masaada maana ata yeye anatumia nguvu kukugegea tumia pesa zikuuzoee
 
Umegeuzwa ng'ombe wa maziwa

Hivi unaanzaje kumhonga mwanaume?????

Kweli kuna mabinti mna vipaji
 
mwanamke hakuumbwa kutoa msaada ila mwanaume msaada ndio hulka yake ndo maana kuna muda anawezatenda jema na akashau kua ametenda jema
 
Kaz kweli kwel kama vp ww mpige chini huyo dume surual
 
Mi kweli dume suruali lakini wako kazidi mimi tunaanza mshara wangu ukiisha tunakula wake
 
Back
Top Bottom