Wanaume wabahili na wategemezi

Wanaume wabahili na wategemezi

Alafu hivi unavyo msema mpenzi wako kwamba ni tegemezi na ombaomba. Je ulisha wahi kupima thamani na uzito wa penzi lenu ukilinganisha na vijisenti?
 
Je ukimuacha huyo ulie nae kwa sasa, kisha ukampata atakae anakupa pesa kama unavyo taka na huku akiwa hana mpenzi ya dhati. Je utafurahia?
 
Kwanza umesha jisema kwamba pesa unayo, sasa mbona unakuja kujiliza huku kwenye kimbilio la wavunja ndoa na watoa ushauri wa hovyo kwa wasio jielewa kama wewe...
 
Kama ni hivo unaendelea kumhifadhi wa nn,,,,,? Cha kufanya Waite wa kwao umkabidhi kwa ndugu zake kuliko kuendelea kuanikana humu,,,,,,!
Daaah, umenichekesha sana. Awakabiz wakwao kwani amekua Mtoto? Hahaaha
 
vibishoo shoo vyenu hivo mnavyovipendaga kwahyo kua mpole
 
Huyu bwana ndiye yule uliesema ni mbabe wa mapenzi? Anakupa masharti wakati pesa hana!
 
Habari zenu wana jukwaa, hivi inakuaje mwanaume anakua tegemezi?? Nna huyu boyfriend naona sasa amezidi, ukweli ni kwamba Mimi nna hela na sioni shida kumpa chochote ila tunakoelekea naona anaona dezo sana...mfano: Mimi nilisafiri kikazi morogoro akaja for a visit weekend huwezi amini alikuja na nauli ya kujia tu, kukaa na outing zote alinitegemea Mimi hadi nauli ya kurudia, niliboreka kwakweli...baada ya kurudi Dar nikakuta gari yake mbovu ametumia kama 1million kutengeneza na sikumsaidia Kwa chochote akaanza kunigombeza eti ametumia ela nyingi hata simjali financially ametetereka Mimi nipo tu..na wakati ananihombeza ivo akanipora pochi akachukua elfu 50 akaemda kunywa bia bar...the other time tukatoka outing akasema hana hela nikampa laki na nusu azishike yeye tukatoka tukakaa kama 1hr then tukaondoka tulitumia kama elfu 30 tu...huwezi amino aikurudishiwa chenji...nikimdai anazingua, ivi mwanaume unakuaje hivi tho shoo moja moja anasimamia ila anavo demand mmmh...so sawa
Mpe tu mpaka na wewe uwe vibaya financially, mbona wakati yupo vizuri alikuwa anagharamikia vyote hivyo na kukupa pesa hukuja hapa kuomba ushuri!

Kumbe ndo upo ivyo? Ngoja apate tamshauri akuteme!
 
Habari zenu wana jukwaa, hivi inakuaje mwanaume anakua tegemezi?? Nna huyu boyfriend naona sasa amezidi, ukweli ni kwamba Mimi nna hela na sioni shida kumpa chochote ila tunakoelekea naona anaona dezo sana...mfano: Mimi nilisafiri kikazi morogoro akaja for a visit weekend huwezi amini alikuja na nauli ya kujia tu, kukaa na outing zote alinitegemea Mimi hadi nauli ya kurudia, niliboreka kwakweli...baada ya kurudi Dar nikakuta gari yake mbovu ametumia kama 1million kutengeneza na sikumsaidia Kwa chochote akaanza kunigombeza eti ametumia ela nyingi hata simjali financially ametetereka Mimi nipo tu..na wakati ananihombeza ivo akanipora pochi akachukua elfu 50 akaemda kunywa bia bar...the other time tukatoka outing akasema hana hela nikampa laki na nusu azishike yeye tukatoka tukakaa kama 1hr then tukaondoka tulitumia kama elfu 30 tu...huwezi amino aikurudishiwa chenji...nikimdai anazingua, ivi mwanaume unakuaje hivi tho shoo moja moja anasimamia ila anavo demand mmmh...so sawa
Dada pole sana, naona watu wanaogopa kukuambia ukweli. Ukweli ni kwamba huyo mwanaume hakupendi kabisa ndio maana anakufanyia hivyo. Tuliza akili fikiri jinsi ulivyompata. Inawezekana unalazimisha punda kunywa maji
 
Habari zenu wana jukwaa, hivi inakuaje mwanaume anakua tegemezi?? Nna huyu boyfriend naona sasa amezidi, ukweli ni kwamba Mimi nna hela na sioni shida kumpa chochote ila tunakoelekea naona anaona dezo sana...mfano: Mimi nilisafiri kikazi morogoro akaja for a visit weekend huwezi amini alikuja na nauli ya kujia tu, kukaa na outing zote alinitegemea Mimi hadi nauli ya kurudia, niliboreka kwakweli...baada ya kurudi Dar nikakuta gari yake mbovu ametumia kama 1million kutengeneza na sikumsaidia Kwa chochote akaanza kunigombeza eti ametumia ela nyingi hata simjali financially ametetereka Mimi nipo tu..na wakati ananihombeza ivo akanipora pochi akachukua elfu 50 akaemda kunywa bia bar...the other time tukatoka outing akasema hana hela nikampa laki na nusu azishike yeye tukatoka tukakaa kama 1hr then tukaondoka tulitumia kama elfu 30 tu...huwezi amino aikurudishiwa chenji...nikimdai anazingua, ivi mwanaume unakuaje hivi tho shoo moja moja anasimamia ila anavo demand mmmh...so sawa
Daah pole huo ni mzigo, shtuka mapema
 
My dear hata bible ilisema mwanaume atakula kwa jasho lake afu ww unamlea uyo marioo.... I had one 2 bt tukabreak up ktkt nashukuru kwa hilo2 wa hvo akikuoa ww ndo mama na baba... Weka mbal na watoto mtu wa hvo pga teke....
 
He he he.....hivi kumbe kuna wanawake wakarimu kiasi hiki?....mungu anisaidie kwakwel
 
Habari zenu wana jukwaa, hivi inakuaje mwanaume anakua tegemezi?? Nna huyu boyfriend naona sasa amezidi, ukweli ni kwamba Mimi nna hela na sioni shida kumpa chochote ila tunakoelekea naona anaona dezo sana...mfano: Mimi nilisafiri kikazi morogoro akaja for a visit weekend huwezi amini alikuja na nauli ya kujia tu, kukaa na outing zote alinitegemea Mimi hadi nauli ya kurudia, niliboreka kwakweli...baada ya kurudi Dar nikakuta gari yake mbovu ametumia kama 1million kutengeneza na sikumsaidia Kwa chochote akaanza kunigombeza eti ametumia ela nyingi hata simjali financially ametetereka Mimi nipo tu..na wakati ananihombeza ivo akanipora pochi akachukua elfu 50 akaemda kunywa bia bar...the other time tukatoka outing akasema hana hela nikampa laki na nusu azishike yeye tukatoka tukakaa kama 1hr then tukaondoka tulitumia kama elfu 30 tu...huwezi amino aikurudishiwa chenji...nikimdai anazingua, ivi mwanaume unakuaje hivi tho shoo moja moja anasimamia ila anavo demand mmmh...so sawa
Endelea tu Kulisha na Kunywesha...!Si unampenda...!Kwani kuna mtu alikutuma ukalee
 
Sasa hapo anaktegemea vp wakat na yy anatoa? Ndo zenu mkitoa kidogo tu masimango...af mnadai 50 50
 
Back
Top Bottom