Wanaume wabahili na wategemezi

Wanaume wabahili na wategemezi

Huyo si mmasai wako mwenye kinyama kwa chini.

Ndio ulichompendea
 
Siku zote mazoea hujenga tabia. Ulishamzowesha tangu mwanzo ndio mana imeshakuwa tabia yake.

Cha muhimu anza kumjengea mazingira ya kujua majukumu yake kama mwanaume mana ameshajisahau yeye anasimama kama nani. Ila penye kumsaidia kwa baadhi ya mambo sio mbaya ukamsaidia.
 
Habari zenu wana jukwaa, hivi inakuaje mwanaume anakua tegemezi?? Nna huyu boyfriend naona sasa amezidi, ukweli ni kwamba Mimi nna hela na sioni shida kumpa chochote ila tunakoelekea naona anaona dezo sana...mfano: Mimi nilisafiri kikazi morogoro akaja for a visit weekend huwezi amini alikuja na nauli ya kujia tu, kukaa na outing zote alinitegemea Mimi hadi nauli ya kurudia, niliboreka kwakweli...baada ya kurudi Dar nikakuta gari yake mbovu ametumia kama 1million kutengeneza na sikumsaidia Kwa chochote akaanza kunigombeza eti ametumia ela nyingi hata simjali financially ametetereka Mimi nipo tu..na wakati ananihombeza ivo akanipora pochi akachukua elfu 50 akaemda kunywa bia bar...the other time tukatoka outing akasema hana hela nikampa laki na nusu azishike yeye tukatoka tukakaa kama 1hr then tukaondoka tulitumia kama elfu 30 tu...huwezi amino aikurudishiwa chenji...nikimdai anazingua, ivi mwanaume unakuaje hivi tho shoo moja moja anasimamia ila anavo demand mmmh...so sawa
Shuga mamiii
Mama kubwaaaa
Wanaume wa Dar wanapenda kitongaaa
 
Habari zenu wana jukwaa, hivi inakuaje mwanaume anakua tegemezi?? Nna huyu boyfriend naona sasa amezidi, ukweli ni kwamba Mimi nna hela na sioni shida kumpa chochote ila tunakoelekea naona anaona dezo sana...mfano: Mimi nilisafiri kikazi morogoro akaja for a visit weekend huwezi amini alikuja na nauli ya kujia tu, kukaa na outing zote alinitegemea Mimi hadi nauli ya kurudia, niliboreka kwakweli...baada ya kurudi Dar nikakuta gari yake mbovu ametumia kama 1million kutengeneza na sikumsaidia Kwa chochote akaanza kunigombeza eti ametumia ela nyingi hata simjali financially ametetereka Mimi nipo tu..na wakati ananihombeza ivo akanipora pochi akachukua elfu 50 akaemda kunywa bia bar...the other time tukatoka outing akasema hana hela nikampa laki na nusu azishike yeye tukatoka tukakaa kama 1hr then tukaondoka tulitumia kama elfu 30 tu...huwezi amino aikurudishiwa chenji...nikimdai anazingua, ivi mwanaume unakuaje hivi tho shoo moja moja anasimamia ila anavo demand mmmh...so sawa
When you love permanently where you loved temporary
 
Habari zenu wana jukwaa, hivi inakuaje mwanaume anakua tegemezi?? Nna huyu boyfriend naona sasa amezidi, ukweli ni kwamba Mimi nna hela na sioni shida kumpa chochote ila tunakoelekea naona anaona dezo sana...mfano: Mimi nilisafiri kikazi morogoro akaja for a visit weekend huwezi amini alikuja na nauli ya kujia tu, kukaa na outing zote alinitegemea Mimi hadi nauli ya kurudia, niliboreka kwakweli...baada ya kurudi Dar nikakuta gari yake mbovu ametumia kama 1million kutengeneza na sikumsaidia Kwa chochote akaanza kunigombeza eti ametumia ela nyingi hata simjali financially ametetereka Mimi nipo tu..na wakati ananihombeza ivo akanipora pochi akachukua elfu 50 akaemda kunywa bia bar...the other time tukatoka outing akasema hana hela nikampa laki na nusu azishike yeye tukatoka tukakaa kama 1hr then tukaondoka tulitumia kama elfu 30 tu...huwezi amino aikurudishiwa chenji...nikimdai anazingua, ivi mwanaume unakuaje hivi tho shoo moja moja anasimamia ila anavo demand mmmh...so sawa
Inaonyesha wewe ni mkubwa zaidi ya boyfriend wako
 
Hivi waungwana nitapataje ule wimbo wa xmass unaimbwa hivi,akoleleee mamaaa akoleleee,viva xmass wa mbanga gaston,msaada plz
Ingia you tube, andika " Baba Gaston Ilunga"-- Nyimbo zake zote ziko hapo. Pakua wimbo unaotaka
 
hahahaaaa... hv kuna mazoba kama huyo??!... yAn japo mm hela yngu ni mgumu kuachia ya dem wangu citaki pia kila mtu akae na zake tu... outing shoo nasimamia mwenyew hta kama ana pesa kuliko mimi bora niweke hta cm bondi nipate ya kucmamia il c kwa uzembe hyo...
 
umenikumbusha dada yangu alichunwa sana na shemeji afu mbaya zaidi jamaa akahonga demu gari ya mke wake!hahaha hapo ilinibidi nicheke
 
Pole Dada... Mimi nadhani Huyo mwanaume alikupendea hela zako kama ambavyo baadhi ya watoto wakike wanavofanya
 
50% 50% mnayoililia ndiyo hiyo, pia ni haki yake kukupga kimoja coz hata ninyi tunapowahonga huwa mnatupa kipochi manyonya kwa mbinde..... Kila kitu 50 50
 
Unafanya nini kwenye huo uhusiano? Uhusiano ni kusaidiana ila inapofikia hatua mtu anakufanya ATM ya kudownload mkwanja anavyojisikia na tena anakwenda mbali zaidi mpaka kuuingilia uhuru wako binafsi, hicho kinakuwa kichaa.
 
Maisha kusaidizana ila huyo kashakufanya chuma ulete afu anajua unampenda sana na huwez kumwacha na huo uzaifu kashaunot hivyo utasota sana hapo wachumba mkioana, ww majukumu yote utaachiwa na hiv jeur had anakunyanganya pochi hakika utaijutia ile cku uliyosema yes nimekubali
 
Mkuu huyo anakuona kama umempenda sana na huwezi kumuacha kwa jinsi unavyompatia misaada. Kwanza nikupongez kwa kuwa na kipato kizr pili kuchangia mambo kama ya outing kwan ni wadada wachache wa type yako BUT huyo jamaa kazidi anatutia wanaume aibu kwa kung'ang'ania hadi chenji, msome uone kama ana malengo na ww au yupo na ww ili afaidike na fedha zako tu. Kumbuka mtoto umleavyo..........
 
Mungu aingilie pembeni kama si kati. ili kuinusuru ndoa yenu.
 
Back
Top Bottom