Theodore Bagwell
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 940
- 226
Na mwanamke anayeamua kuolewa na mwanamme ambaye umri wake ni sawa na babu yake tabia hiyo huwa inanisikitisha sana
Hapo anakuwa amesalimu amri...nice one!
achukue tena damu nzee ya nini! *soma tafiti zinasemaje juu ya mabint wabichi hujui ni "anti-aging catalyst"huoni vibint vinavyo paramia wazee vinavyochakaa vibaya,unafikiri kwanini vbnt huitwa ni dawa ya kiuno na mgongo pls note it.....