Unaongea nini?Ukiangalia asili yako ni ya mikoani sema kunavijinasaba unavyo ndiomaana unaamua kuwatenga wenzio
Acha mazoea ya kukariri wewe.wote wa mkoani tu haijalisha wanatokea mkoa gani,iwe mbeya,mara.arusha nk wote wa mkoa tu
kukariri nini mdogo wangu? kwahiyo wewe unadhani wanaume wote wanaishi dar ni wazawa wa hapo?Acha mazoea ya kukariri wewe.
Waambie hawajui huku mikoani tunazo adhabu aina nyingi nyingi tuSio kwamba wanaume hawakuwepo hapo, huenda wanawake wa eneo hilo walikuwa wakitumikia adhabu.
..Hao washaua wanaume wao wooote,..hawana namna!Haya wanaume wa mkoani mna nini cha kusema kuhusiana na hii picha?
Hivi majuzi mlikuja hapa jukwaani na kashfa kibao mkisema wanaume wa dar wakija kwenye mazishi hawawezi hata kufukia kaburi.
Kimsingi hapa mmeonyesha udhaifu mkubwa mno.View attachment 397019