Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,664
- Thread starter
-
- #101
Ha ha ha ha! Valentina anaonekana ni msichana mrembo aliyetulia. Kumla inabidi uwe na timing kama ya kumvizia kobe.
Ama kweli kazi ya ukuwadi unaiweza weweAsikutishe, anakamatika kirahisi tu. Masunga Maziku is chasing her.
Taratibu kaka. Ndugu zetu hao.
Hahaha.Hahahaaa hata sisi ni ndugu zao ujue?
Lakini kutwa kucha masimango tu humu!
Hahaha.
Halafu mwana kama si defence attorney ungefaa sana kuwa.
Unanikumbusha Headmaster wa Tambaza akiitwa Julius Mushi.
Wanafunzi wa Tambaza hata wafanye fujo vipi. Yeye swali lake la kwanza ni "Wangu walioumizwa ni wangapi? Kuna wangu wameumizwa pia".
Julius siku zote anaangalia interest zake.
mfano "Nyani Ngabu yaani unaondoka hivihivi bila kuonana na mimi, haya bwana, sawa".
Ama kweli kazi ya ukuwadi unaiweza wewe
Kuna watu wana imaginations za ajabu kweli ikiwemo wewe mwenyewe.
Hujui kama mimi ni Mmarekani au la. Huwezi kulithibitisha hilo.
Hivyo acha kutoa kauli za maazimio!
Watu wanatafuta $$$ mama, inawezekana boredom ikamfanya mtu kutaka kuchat mda mwingi. Kuna watu huko mbelez wanafanya kazi 16hrs. Huo mda wa kuchat anautoa wapi. Akishika simu dk chache usingizi huo...
Kama una mtu mbelez na wewe unahitaji akupe mda wake, pesa zake naamini utashindwa coz wengi wao wanafanya kazi mda mwingi.
Ndohivo washashindwaWakikushindwa waniletee ripoti ili mimi mwenyewe niingie kazini.
Huyo mzee wa mwisho amenichefua kweli eti Tanzania itaneemeka, kweli?Cheki wala vumbi walivyokimbizana kama nyumbu ili tu walitie jichoni gari la Obama...
Huyo mzee wa mwisho amenichefua kweli eti Tanzania itaneemeka, kweli?
Ndohivo washashindwa
Asikutishe, anakamatika kirahisi tu. Masunga Maziku is chasing her.
Ndohivo washashindwa