Hapana...umeenda mbali mno.
Nachosema ni kwamba, humu watu hujenga taswira za watu kulingana na jinsi ambavyo watu wanachangia.
Sasa, watu tuna backgrounds tofauti tofauti.
Binafsi nimeshaambiwa eti kulingana na mambo ambayo huwa ninayaandika humu basi ni lazima nitakuwa nimekula chumvi nyingi ya kutosha, yaani mzee flani hivi.
Watu hudiriki hata kudai eti nina miaka 60 na kwenda juu [umri wa mama yangu mzazi huo].
Jana tu kuna mtu kanijia PM eti anadai nina mtoto wa kike ambaye ana Master's degree na nina mke mwenye PhD.
Kweli, mtoto ninaye tena wa kike, lakini hata grade school hajamaliza. Ila mke mwenye PhD? Where the hell did that come from?
Basi watu wanadhani vitu niandikavyo humu [sijui hata ni vitu gani hasa] haviwezi kuandikwa na kijana. Ni lazima viandikwe na mtu mzima, mzee mzee hivi.
Ambacho wanashindwa kuelewa ni kwamba, watu tuna backgrounds tofauti sana humu. Mazingira niliyokulia ndiyo yaliyonijenga.
Watu tumeanza kusoma World Book Encyclopedia tukiwa shule ya vidudu, wamekuja akina Edward Seaga na Siaka Stevens tukabebwa kwenye mabega na washua tukaenda Nkrumah hall kuwasikiliza....hapo hata kusoma vizuri sijui....lakini ni mambo ambayo mpaka leo nayakumbuka.
Ndo maana nikizingumzia habari kama hizo watu wanadhani mimi ni kibabu.....hahahaaaaaaa.
Only if they knew....
Teh woteUnampenda nani? Sumu, Masunga Maziku au Simplicity?
Hahahahaha dude si unajua mambo ya mitandao.. Sema una mikogo flani ambayo unawakomesha nayo sana wala vumbi.. Hahahaha
Ila kwa ile dozi aliyopatiwa ni lazima angerudi makaburini alipotokea.
Eti eeeValentina lara 1, miss chagga huyu mzee ni hela zake tu anakung'oa:
Wala vumbi tumepinda kiasi hiki?
Kuna wala vumbi ukirudi wanakuuliza inakuwaje viatu vyote vipya umenunua vyote wakati unakaribia kurudi? Ukiwaambia hapana vingine hapa vina miaka miwili au zaidi wanashangaa! Sasa ukiwaeleza unaviona hivi kwasababu majuu hakuna vumbi yaani hakuna hata mchanga unaokanyaga, ukitoka ndani pavement,garden mpaka unapoenda.....hawakuelewi kabisa!
USA is USA ,kila mtu anataka kwenda huko,Hata iwe libya,syria,Iran,Iraq,woote wanao iponga ndo unawakita ibalozini kila siku wanaliwa hela za visa alafu hizo hela zinarudishwa kama mradi wa maendeleo,Grant,loan, etc
Chezea ngozi nyeupe inalala imeshika kichwa ,we mwenzangu unalala umeshika hapo kwenye dushe
Huu uzi umeletwa na Nyani Ngabu mwenyewe.........Mod unganisha ID kuepuka usumbufu
Eti eee.... Basi nasubiriNimekuja Vale, mkong'oto keshokutwa jumamosi!
Wala vumbi wengine ni washenzi tu, kila anayetaja USA ni Nyani Ngabu!Mimi sijauleta huu uzi wewe.
Kama kweli mimi ndiye nimeuleta huu uzi basi nawapa idhini [ingawa hawahitaji] waasisi wa JF Maxence Melo na Mike McKee waunganishe hii ID ya Simplicity. na yangu.
Au, wanaweza kabisa kuja hapa na kutoa ushuhuda wao kama kweli huyo jamaa ndo mimi.
Cc: Invisible
mnamiliki nini huko USA, Isije ukawa busy for nothing, nyumba umepanga, gari ya mkopo, unaringishia opicha nzuri ulizopiga kwenye majengo ya wenye helaaaaa, njoo ulime manansi huku kwetu, umiliki ardhi, usafiri nyumba na kila kitu unachotamaniMimi nilikuja huko Tanzania kusalimia wazazi nikitokea USA yaani ndani ya wiki moja tu walinishobokea wake za watu wasiopungua kumi na mbili. Niligegeda watatu wengine nikawayeyusha, saizi huwa wananisumbua sana eti nirudi tena Tz niwagegede. Nimewaahidi kurudi mwakani lakini ninawadanganya tu kwani saizi nina kazi nyingi sana hapa USA ikiwa ni utekelezaji wa plan ya miaka saba na huu ndo mwaka wa tatu.
Wala vumbi wengine ni washenzi tu, kila anayetaja USA ni Nyani Ngabu!
Vyote ulivyovitaja niliishavimiliki kitambo kabla ata sijaja USA.mnamiliki nini huko USA, Isije ukawa busy for nothing, nyumba umepanga, gari ya mkopo, unaringishia opicha nzuri ulizopiga kwenye majengo ya wenye helaaaaa, njoo ulime manansi huku kwetu, umiliki ardhi, usafiri nyumba na kila kitu unachotamani