Wanaume wa kileo

Wanaume wa kileo

illuh

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2014
Posts
1,254
Reaction score
700
Jamani jamani vijana wa leo badilikeni, kuleni vyakula vya kujenga afya acheni michipsi ya gengeni, acheni kula bugger.
Mwanaume unatakiwa kula mboga mboga, ugali, Dagaa, samaki, maharage, matunda ili mjenge afya zenu.

Kula ugali au vyakula vya kuchemsha si ushamba au umasikini jamani ni afya.

Wanaume vijana wa leo asilimia kubwa nguvu hawana kabisaa akipanda sekunde kashashuka.

Mtaibiwa wake na girlfriend zenu hakiyanani.
 
Tutaibiwa na nani maana umesema wanaume wa kileo? Au tutaibiwa na vijana wa kesho na wababu jana?

Binafsi hizi mada zenu za kutaka wanaume wawe slaves wa kuwarizisha bila nyie kubadilisha maono, u-drama queen,umalaya, kufutuka tu kuwa kama maputo, ubinafsi, akili za ku-copy na ku-paste!

Kwa maono yangu hamna hata thamani za mama zenu, mmechoka balaa, chini hamna ladha kama kutafuna taulo liloloa!

Binafsi ni bora nijitume kwa Mmama wa miaka 45 kwenda juu bila hata kuhitaji chochote coz wana ladha kuliko haya matapu tapu ya umri wangu


Nani anataka kujututumua kwa kitu kisicho na adhi ya kujitutumua!
 
Baadhi japo ni wachache wanaoweza
 
Jamani jamani vijana wa leo!!! Badilikeni, kuleni vyakula vya kujenga afya acheni michipsi ya gengeni, acheni kula bugger,
Mwanaume unatakiwa kula mboga mboga, ugali, Dagaa, samaki., maharage....matunda nk.....mjenge afya zenu...
Kula ugali au vyakula vya kuchemsha si ushamba au umasikiniii jamani ni afya....

Wanaume vijana wa leo asilimia kubwa nguvu hawana kabisaa akipanda sekunde kashashuka lol !!! Mtaibiwa wake na girlfriend zenu hakiyanani...

hahahaa, pole dada, naona kila unayemgea hamna kitu, mtafute mpwa wangu Elli maana yeye wanawake wanamkimbia kwa sababu akisimamia show hashuki mpaka kesho!
 
Last edited by a moderator:
mboga mboga zipi hizi za bonde la msimbaz....maana hizo zinapunguza nguvu
 
Tutaibiwa na nani maana umesema wanaume wa kileo? Au tutaibiwa na vijana wa kesho na wababu jana?

Binafsi hizi mada zenu za kutaka wanaume wawe slaves wa kuwarizisha bila nyie kubadilisha maono, u-drama queen,umalaya, kufutuka tu kuwa kama maputo, ubinafsi, akili za ku-copy na ku-paste!

Kwa maono yangu hamna hata thamani za mama zenu, mmechoka balaa, chini hamna ladha kama kutafuna taulo liloloa!

Binafsi ni bora nijitume kwa Mmama wa miaka 45 kwenda juu bila hata kuhitaji chochote coz wana ladha kuliko haya matapu tapu ya umri wangu


Nani anataka kujututumua kwa kitu kisicho na adhi ya kujitutumua!

Wanawake wa kileo wanajiangalia wao kuwa wana haki ya kuridhishwa hawafikirii kama mama zetu....umeongea point kaka
 
hahahaa, pole dada, naona kila unayemgea hamna kitu, mtafute mpwa wangu Elli maana yeye wanawake wanamkimbia kwa sababu akisimamia show hashuki mpaka kesho!
hahahahahaa na sasa natumia kitu cha Sumbawanga kinaitwa MissMwampembe, natafuta mtu wa kutestia illuh please come zis way
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom