Pua na macho yako makali kiasi gani!! Unanusa wakristu tu, tena waliooa? You've got some nostrils and big eyes, boss! Kuna kitu unataka kutuasa waume wa watu ila approach yako ni kama mkoloni anavamia kijiji! Senkyu zainabyIpi heri kuoa wake wengi wanaojulikana au kuwa na michepuko kisa dini inataka uoe mke mmoja?
Wanaume wa kikristo mnatudanganya mmeao mke mmoja lkn kumbe mna wake wa siri zaid ya 20!
Heri mje huku kwetu unaoa mpaka wake wa nne kwa raha zako!
Asante kwa kututetea mamiii. Sisi tunajisahau mno. Mtusamehe tuuWenye wake wanne hao ni halali. Ila wanayo pia michepuko.
Usimsemee mwanaume akili zao wanazijua wenyewe.
Mh mh nakutafuta sana ujueKwani ukioa wengi utamu mwingine utaupataje
Kila wiki utamu mpya ndo mpango
Kila siku milango ileile khaaaaaa.....sukari upate sehem mbalimbali
Leo hivi, kuesho vile, mara mvutiko au utelezi mara pakavuu mara hadaki ilimradi utamu tofauti