Wanaume wa kichaga

Yanini mnawafatafata sasa?

Kama sio your cup of tea then take a hike!

Bounce,unawajazia space!
 
I see!
Huyu namvumilia tu maana namalizia ujenzi wa nyumba yangu niachane nae maana sidhani if i can spend the rest of my life with someone like this. Nitamchoka mapema sana.

Si umesema unajua kutafuta wewe au?

sasa si uachane nae nyumba yako utamalizia mwenyewe?

inaonyesha mama ulikuwepom kwa ajili ya mkwanja na hapo ndo shida inaanzia

kwa ufupi inabidi tu ni-CONCLUDE kwamba wewe ni MALAYA muuza papuchi

Nisamehe kwa conclusion yangu.
 
Ila jamani wanajua sana kujali familia zao, kwa Hilo nawapongeza. Mimi ni mchaga lkn haijawahi tokea nikadate mchaga mwenzangu
Kwa story za huyu mwenzangu sio kweli kihivyo, ila huwa anawasifia sana wanawake wa kichaga.
 
Tafuta msambaa au makonde hao ndio wamechangamka kila saa wanawaza ngono sio pesa kama Wachagga
 
Mchagga akishapata pesa atachukua mwanamke yoyote kwa jeuri yake ila wewe kama unataka uzungu katafute wazungu kwanini ulalamike huku umeng'ang'ana hapo hapo?
 
yaani hajachanga mka kivipi? ukute jamaa ni gentlemen na nice guy wanawake huwa hawawapendi wanaume wa namna hii...njia ya nzuri ya kuwa na mwanamke act, be rough, *** her good, give her money she will be your slave
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…