Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Uvelia

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2018
Posts
640
Reaction score
1,192
Habari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all😤😤

Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
 
Habari wadau wa MMU.

Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.

Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.

Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all😤😤

Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Jitahidi kwenda nae baa na rafiki zake..kula kupiga story kuangalia mpira
Na kama anajenga kwenda site na mwisho wa mwaka kwenda Moshi
Huko utaenjoy

Mana hawajuagi kupeleka mtu dates wala nini
Sana sana baa kwny pombe baaas
Inshort hawana mambo ya kizungu
 
Jitahidi kwenda nae baa na rafiki zake..kula kupiga story kuangalia mpira
Na kama anajenga kwenda site na mwisho wa mwaka kwenda Moshi
Huko utaenjoy
Mana hawajuagi kupeleka mtu dates wala nini
Sana sana baa kwny pombe baaas
Inshort hawana mambo ya kizungu

I see!
Huyu namvumilia tu maana namalizia ujenzi wa nyumba yangu niachane nae maana sidhani if i can spend the rest of my life with someone like this. Nitamchoka mapema sana.
 
Back
Top Bottom