okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,631
Hello guys
For the past years nimekuwa nikizunguka katika nchi tofauti za bara la asia, personally mimi sio fan wa asian girls, so sijaelewa why waafrika wengi wakija asia moja ya fantasy yao ni ku-date na wadada wa ki-asia.
Mimi nimekaa na wa-asia na ninawafaham vizur, most of them wana sort of racist ideologies, most asian societies wanaoana wao kwa wao: The only girls ambao wana give attention kwa waafrika ni wale ambao
1)They are ugly (according to asian standards); Ugly girls ni out-going hlf wana chat freely na wanaume kwenye social medias like facebook, instagram etc. Asian girls ambao ni wazuri wao huweka account zao kuwa private na kama hawakujui it means hawakujibu sms zako, in real life ukiongea nao watajifanya wapo shy, hata in public hawatoambatana na wewe.
2) Wadada ambao kwao ni maskini sana: Hawa huolewa na waafrika, sio out of love, wanaoana na waafrika ili waondokane na umaskini, maybe mwafrika anaemuoa huyo mdada ana pesa nyingi or a stable job, so mdada huamua tu akubali.
3)Wadada ambao wanajiuza: Hapa ni kwamba wanaume wengine wa kiafrika wanapiga picha na malaya wa ki-asia hlf huwatumia picha marafiki zao walio afrika, ili kujionesha kuwa na wao wana mademu wa ki-asia kumbe wamepiga picha na malaya.
NB: Kwenye every general rule kuna exception, so maybe there are other african guys ambao wanapendwa kweli na wadada wazuri wa ki-asia, lakini those cases are veeery rare.
AND THAT IS THE REALITY!!!
For the past years nimekuwa nikizunguka katika nchi tofauti za bara la asia, personally mimi sio fan wa asian girls, so sijaelewa why waafrika wengi wakija asia moja ya fantasy yao ni ku-date na wadada wa ki-asia.
Mimi nimekaa na wa-asia na ninawafaham vizur, most of them wana sort of racist ideologies, most asian societies wanaoana wao kwa wao: The only girls ambao wana give attention kwa waafrika ni wale ambao
1)They are ugly (according to asian standards); Ugly girls ni out-going hlf wana chat freely na wanaume kwenye social medias like facebook, instagram etc. Asian girls ambao ni wazuri wao huweka account zao kuwa private na kama hawakujui it means hawakujibu sms zako, in real life ukiongea nao watajifanya wapo shy, hata in public hawatoambatana na wewe.
2) Wadada ambao kwao ni maskini sana: Hawa huolewa na waafrika, sio out of love, wanaoana na waafrika ili waondokane na umaskini, maybe mwafrika anaemuoa huyo mdada ana pesa nyingi or a stable job, so mdada huamua tu akubali.
3)Wadada ambao wanajiuza: Hapa ni kwamba wanaume wengine wa kiafrika wanapiga picha na malaya wa ki-asia hlf huwatumia picha marafiki zao walio afrika, ili kujionesha kuwa na wao wana mademu wa ki-asia kumbe wamepiga picha na malaya.
- Asians wana-prefer ngozi nyeupe (as their standard of beauty), so wengi wakiona mwafrika they think he/she unattractive, so ewe mkaka ukiona demu wa ki-asia mwenye ngozi nyeusi anakushobokea, mara nyingi ni kuwa sio kwamba anakupenda sana bali tu hana options nyingine, it means angekuwa mweupe hlf mzuri wala asingekuwa na time na wewe, so nyie wanaume mnaopanga kwenda asia inabidi mzisahau dushe zenu kwa kipindi chote mtakachokua huko
NB: Kwenye every general rule kuna exception, so maybe there are other african guys ambao wanapendwa kweli na wadada wazuri wa ki-asia, lakini those cases are veeery rare.
AND THAT IS THE REALITY!!!