lazima uwe umeshupaa shupaa hivi ndio wanataka kukuoa....ukiwa umelegea legea ngozi nyororo unanukia vizuri ndoa utaisikia kwa jirani,yanataka mtu wa kuwafulia,kuwanyooshea nguo na kuwa pikia :der::der::der::der::der::der::happy:
Sina uhakika kama utafiti uliufanya Africa yote, mbona mie najifulia nguo mpaka ..............lazima uwe umeshupaa shupaa hivi ndio wanataka kukuoa....ukiwa umelegea legea ngozi nyororo unanukia vizuri ndoa utaisikia kwa jirani,yanataka mtu wa kuwafulia,kuwanyooshea nguo na kuwa pikia :der::der::der::der::der::der::happy:
lazima uwe umeshupaa shupaa hivi ndio wanataka kukuoa....ukiwa umelegea legea ngozi nyororo unanukia vizuri ndoa utaisikia kwa jirani,yanataka mtu wa kuwafulia,kuwanyooshea nguo na kuwa pikia :der::der::der::der::der::der::happy:
Wananiacha hoi wanapotaka kuoa hawana nyumba .huna nyumba Huna pesa uwanja wa ndoa haukuhusulazima uwe umeshupaa shupaa hivi ndio wanataka kukuoa....ukiwa umelegea legea ngozi nyororo unanukia vizuri ndoa utaisikia kwa jirani,yanataka mtu wa kuwafulia,kuwanyooshea nguo na kuwa pikia :der::der::der::der::der::der::happy:
Waolewaji wanajulikana bana kwa macho tu unagundua huyu anafaa kupigwa ndoa
itakuwa kaachwa wakati ndoa imeshatangazwa hadharani.
Kaolewe na mzungu uone kero yake.....kweni kuwa nyororo ndio inamaanisha unashindwa kufanya majukumu yako kama mke? mie sioni tatizo lipo wapi....gadgets kibao siku hizi washing mashine, rice cooker, dishwasher sii ununue tuu na bwana wa kiafrika bado atakupenda tuu....usilete sababu ambazo hazina msingi
kumfulia mume nguo,kumpikia etc ni majukumu ya mke kwa mujibu wa NANI....katiba ipi?
kwa mujibu wa mfumo dume...sasa kama wewe unataka kuupinga usipige kelele kuhusu kuolewa. tulizana ukiwa single....the choice u make the price u pay.
noo nitaolewa,sema sio na muafrica,cha kushangaza huu mfumo dume ni kwa waafrica,yaani nikufulie nikunyooshee na mwanangu atamfulia nani nyoo...get lost.:majani7:
Dogo tulia acha kupayuka, tulioka kwenye ndoa tunajua raha tamu na chungu zote, kama umeliwa na kutoswa usitupigie kelele bana!! mwisho hata kuzaa utasema wanaume wa kiafrica nao wazae. kuolewa ni wajibu, na kutumika ni majukumu so complain not dude, jamaa kachovya na ndo kaisha sepa hivyo, jipange upya kama ulifikiri unaingia kwenye ndoa kudeka, na kila siku kula chips kuku baa na kuitana hny
ndoa ni kitu tofauti mamie, si kupaka rangi kucha tu, na wala si kupiga powder na pamba, kuna kubadili pampas watoto na kunyonyesha, kuna kupika na kuosha vyombo, kuna kudeki chumba na kutandika kitanda, so usiwaze unyunyu tu, hizo ni nyakati za uchumba
heiyaaaaaaaaaaaa