Wanaume wa Jf tuwe waungwana

Wanaume wa Jf tuwe waungwana

Kwani Nani kasema hayo no majina ya hovyo?
 
Sijataka tutumie jina halisi, kwamaana hata maadili yetu yanatubana, ninachoshauri hayo majina mbadala yawe ya staha ili kulinda hadhi na heshima ya kituchenyewe, si sawa kukitungia jina kitu muhimu kikaonekana kama takataka.
Mkuu naona tatizo lipo kwako. Perception yako inaenda tofauti na malengo ya kuanzisha majina kama hayo. Wewe ndio unahisi ivyo ila wengine tunaona ni majina ya kawaida na hayapeleki kuonekana kama takataka
 
Wanaume tunaishi na wanawake kwa sababu nyingi na sio kwasababu ya papuchi tu.
-Tunaishi nao kwasababu ni wazazi wenzetu yani mama wa watoto wangu.
-Mtu wa kusaidiana ktk maisha kuepuka upweke na ugumu wa maisha hasa haya ya jiwe.
-Kwasababu ya maandiko/maagizo ya Mungu ktk uumbaji weke kwa binadamu wake.
-Kujijengea heshima kuu ya mume mke ktk jamii zetu badala ya kuitwa mhuni.
 

Attachments

  • GRINCH.jpg
    GRINCH.jpg
    142 KB · Views: 13
hapa tuwaulize wanawake wanakwama wapi kujiatufia majina ya papuchi zao
 
Mkuu naona tatizo lipo kwako. Perception yako inaenda tofauti na malengo ya kuanzisha majina kama hayo. Wewe ndio unahisi ivyo ila wengine tunaona ni majina ya kawaida na hayapeleki kuonekana kama takataka
labda, maana kila MTU na mtazamo wake.
 
Wenye bunye zao wametulia wala hawakereki maana wanajua ni tafsida tu kwasababu huwezi kutamka kile kiungo moja kwa moja
Hebu wewe pendekeza tukiiteje tofauti na hayo majina ambayo huyapendi?
K, tunda,asali,nyeti,halua,,utamu,kitumbua na mengine mengi yakuvutia,na kutuongezea ham ya kukila.
 
Wenye bunye zao wametulia wala hawakereki maana wanajua ni tafsida tu kwasababu huwezi kutamka kile kiungo moja kwa moja
Hebu wewe pendekeza tukiiteje tofauti na hayo majina ambayo huyapendi?
K, tunda,asali,nyeti,halua,,utamu,kitumbua na mengine mengi yakuvutia,na kutuongezea ham ya kukila.
 
Back
Top Bottom