Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,580
- 2,224
Habari wakuu? naombeni tujadili hili jambo, binafsi sijajua nikwanini ile sehemu ya mwili wa mwanamke ambayo inatufalia sana tunaiita kwa majina mabaya, yenye kukera na kudhalilisha utu wa mwanamke!? Nashindwa kuelewa pale mwanaume anapotamka, mbunye,ama papuchi, kiboksi manyoya,bwawa na majina mengine mengi ya hovyo kabisa, hivi ni kweli tunashindwa kutambua thamani na umuhimu wa kile kiungo!? hivi ni kweli tunasahau jinsi tunavyojipendekeza, kunyenyekea, kujishusha na hata kutoa Mali zetu za thamani(kuhonga)kwa wanawake ili tuhurumiwe kwa kuachiwa ile sehemu japo kwa muda tuitumie na kufurahisha nyoyo zetu!? ni vipi tunasahahau kwamba kuna wakati tunashindwa hata kula, tunapoteza furaha na amani ndani ya nyoyo zetu, tunakosa usingizi na hata kuchanganyikiwa kiakili kwa sababu tu uliemuomba akupe kakukatalia.!? kwani pale tunapotumia majina mazuri ya kukipamba na kukisifia kama Tunda,utamu,asali, kitumbua tunapata hasara gani!? tubadilikeni wakuu, ile kitu ni Mali yetu, wao wanatutunzia tu kama ambavyo sisi tunatunza tulichonacho kwa ajili yao...

mbunye yangu inamaji