Asante kwa kuja.Naomba niwe mchepuko wako maana unafurahia uzinzi
ila yote yote tuache utani jamani ukipata mchepuko ambao ni single mother utakula gudtime ile mbaya,maana wale hawana mambo mengi wewe unachozuga ni kujidai unampenda mwanae,mara vimidoli mara vizawadi vidogovidogo vya hapa na pale kwa mtoto wake,yani usirogwe ukamfokea mwanae utaharibu.Kila side chick anatamani siku moja awe main chick, tena hawa ambao uliwambia Iam married halafu wanajifanya mioyo yao imetengenezwa na maganda ya bamia, anakwambia "worry not darling mi sinaga hata wivu wala sitakubana ila tu nikikutaka unipe dyudyu yangu usijifanye bize na mkeo am ready for wateva"
Ndo wana balaa sio mchezo mkianza atajifanya anamheshimu mkeo kabla ya kupiga simu anakuuliza 'are u free nikupigie' ila baadae dyudyu ikikolea anasahau (baundary) basi anajikurupukia tu sa9 usiku anatwanga eti "nimekuota bebi i wish you were here"
Mhh saa hizii? Akiona hukolei sasa anakutengenezea balaa ili mkeo agundue, akikukosa kwenye lipstick kwenye kola ya shati basi siku hizi wana misabuni yao na viungo- mseto vya kuweka ndani ya uvungu kunogesha penzi vinanukia balaa vinaitwa mishki na shaibu.
Nyuchi zinawekewa pilipili hoho mixer na viungo vya pilau mzee ukichepuka ukirudi home mkeo lazima agundue maana unabakia na harufu ya biriani siku 3 hata uoge na OMO haitoki labda ujisugue na utomvu wa mpapai na steel wire.
Kama napata ' laha',Wewe itakuwa umepewa limbwata si bure
Hahahaa... Jamaa inaelekea unauzoefu wa kutoshaila yote yote tuache utani jamani ukipata mchepuko ambao ni single mother utakula gudtime ile mbaya,maana wale hawana mambo mengi wewe unachozuga ni kujidai unampenda mwanae,mara vimidoli mara vizawadi vidogovidogo vya hapa na pale kwa mtoto wake,yani usirogwe ukamfokea mwanae utaharibu.
wapige chiniWamezidi kutuzingua
Kwa hiyo mchepuko ndo unaokupa raha.mkeo hakupi raha.loh same time kuolewa ni kuhousegirlika tukha jamani wanaume nyie.Ambae Hana mchepuko aje hapa mm sitaki kuolewa.Asante kwa kuja.
Ila, Mama watoto na Mchepuko unaonipa 'laha' wananitosha.










Mi cna mchepukoKwa hiyo mchepuko ndo unaokupa raha.mkeo hakupi raha.loh same time kuolewa ni kuhousegirlika tukha jamani wanaume nyie.Ambae Hana mchepuko aje hapa mm sitaki kuolewa.![]()
Kila side chick anatamani siku moja awe main chick, tena hawa ambao uliwambia Iam married halafu wanajifanya mioyo yao imetengenezwa na maganda ya bamia, anakwambia "worry not darling mi sinaga hata wivu wala sitakubana ila tu nikikutaka unipe dyudyu yangu usijifanye bize na mkeo am ready for wateva"
Ndo wana balaa sio mchezo mkianza atajifanya anamheshimu mkeo kabla ya kupiga simu anakuuliza 'are u free nikupigie' ila baadae dyudyu ikikolea anasahau (baundary) basi anajikurupukia tu sa9 usiku anatwanga eti "nimekuota bebi i wish you were here"
Mhh saa hizii? Akiona hukolei sasa anakutengenezea balaa ili mkeo agundue, akikukosa kwenye lipstick kwenye kola ya shati basi siku hizi wana misabuni yao na viungo- mseto vya kuweka ndani ya uvungu kunogesha penzi vinanukia balaa vinaitwa mishki na shaibu.
Nyuchi zinawekewa pilipili hoho mixer na viungo vya pilau mzee ukichepuka ukirudi home mkeo lazima agundue maana unabakia na harufu ya biriani siku 3 hata uoge na OMO haitoki labda ujisugue na utomvu wa mpapai na steel wire.
Kwa hiyo mchepuko ndo unaokupa raha.mkeo hakupi raha.loh same time kuolewa ni kuhousegirlika tukha jamani wanaume nyie.Ambae Hana mchepuko aje hapa mm sitaki kuolewa.![]()