asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Hapa malegendary tunapita kimyaaaaa.
Ila mwanamke kutokufikishwa inakera sana.
unafikishwa kileleni na rika gani?
Hapa malegendary tunapita kimyaaaaa.
Ila mwanamke kutokufikishwa inakera sana.
Utakuta umempenda kijana mwenzako aaa kwa mapenzi kabisa unampa gemu kwa kujua atakushusha mlima kitonga mwisho wa siku unaambulia kubakizwa na vumba tu!!!
Jamani inakera sana vijana fanyeni mazoezi,mle vyakula vizuri chips yai na mikate asubuhi zinawaharibu mbona wakubwa miaka 40's na kuendelea wanatufikisha?Nimefanya resercha yangu wababa 3 vijana 3 ila kwa kweli wababa wanajua jamani tuwape hongera sasa nyie vijana sijui tatizo ni nini?sijui vyakula,sijui haraka,sijui stress za maisha hamko stable.
Huku mjini kuna wamama wanauza mihogo mibichi na matango muwe mnanunua kidogo zinasaida pia mule korodani za jogoo.
Itakuwa mnatuoa nyie ila starehe tunazipata kwa wababa.
Teh teh wewe tena nusu yai?
Kereruuuu mbutananga utakojoa kwenye paja
Hii kali unafanya research na watoto wa masaki una conclude njoo huku kwetu kama haijawaka moto..........kutana na akina zipuwawa
na wewe una tatizo hilo? njoo huku.
Utakuta umempenda kijana mwenzako aaa kwa mapenzi kabisa unampa gemu kwa kujua atakushusha mlima kitonga mwisho wa siku unaambulia kubakizwa na vumba tu!!!
Jamani inakera sana vijana fanyeni mazoezi,mle vyakula vizuri chips yai na mikate asubuhi zinawaharibu mbona wakubwa miaka 40's na kuendelea wanatufikisha?Nimefanya resercha yangu wababa 3 vijana 3 ila kwa kweli wababa wanajua jamani tuwape hongera sasa nyie vijana sijui tatizo ni nini?sijui vyakula,sijui haraka,sijui stress za maisha hamko stable.
Huku mjini kuna wamama wanauza mihogo mibichi na matango muwe mnanunua kidogo zinasaida pia mule korodani za jogoo.
Itakuwa mnatuoa nyie ila starehe tunazipata kwa wababa.
hahaaaa umenichekeshaje.......ku.ti.wa na mtu anaejua raha sana..............
kiruuuu .... wewe umeanza lini kutoa huduma za tiba asili!Nunua jogoo mwekundu kisha mtoe azile mbichi
Nilidhani mimi peke yangu kumbe tuko wengi aisee mambo yote over 40 ndo mpango mzima
Utakuta umempenda kijana mwenzako aaa kwa mapenzi kabisa unampa gemu kwa kujua atakushusha mlima kitonga mwisho wa siku unaambulia kubakizwa na vumba tu!!!
Jamani inakera sana vijana fanyeni mazoezi,mle vyakula vizuri chips yai na mikate asubuhi zinawaharibu mbona wakubwa miaka 40's na kuendelea wanatufikisha?Nimefanya resercha yangu wababa 3 vijana 3 ila kwa kweli wababa wanajua jamani tuwape hongera sasa nyie vijana sijui tatizo ni nini?sijui vyakula,sijui haraka,sijui stress za maisha hamko stable.
Huku mjini kuna wamama wanauza mihogo mibichi na matango muwe mnanunua kidogo zinasaida pia mule korodani za jogoo.
Itakuwa mnatuoa nyie ila starehe tunazipata kwa wababa.
unafikishwa kileleni na rika gani?
Km huna bahati mbaya basi huna bahati kabisa. Na ww hiyo ndo bahati mbaya yako so jarbu tena baadaye. Sio unaona hakuna sholi mwenzio aliyekusapoti basi ujue ulichemka sampo. K yako imewahi kutoka moshi mweusii? Njoo ujionee mambo iko huku.