cartura
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,026
- 788
Alafu nashangaa... mi nimetongoza dem kanikubalia, sasa suala la kubanjuana naomba tena???!!! Sasa alinikubalia nini?
swali zuri.... itabidi uangalie 'mkataba wa makubaliano'; inawezekana wewe unaruhusiwa kumbusu kwenye paji la uso tu teh teh teh