Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 708
- Thread starter
- #121
...ebwana Mkuu,hapo kwenye red nina few coments,kama ulivosema mwenyewe kuwa;
1) ''UMEMPENDA SANA'',nazani kwa wanaojua maana ya kupenda hawawezi kushtuka chochote kuombwa hela na wapenzi wao eiza awe wa kiume/kike,sabu umesema katoa sababu kuwa hana kitu,zen wat ze hel4ze lov of my life.
2) ''MKO KWENYE UHUSIANO'',nazani hiki ni kipindi cha kuchunguzana kujua kama mwenzako ni SELFISH/MCHOYO,OMBAOMBA/MTU WA MIZINGA,HONEST/MKWELI,GOSSIP/MBEA,etc,ukishajua hayo nazani utakuwa tayari na uamuzi sahihi kwa suala lolote litakaloletwa kwako,eiza linahusu hela,msaada wa kimawazo,etc,...kwa Mie nikijua kuwa ni HONEST na si mtu wa GOSSIPS na MIZINGA,sioni hatari kulipia pango sabu najua itajilipa tuu.
3) ''MIEZI MITATU'',unamaana gani kusema miezi mitatu bila kukutana kimwili,kwamba ni muda mrefu sana kumsubiria UMPENDAYE SANA na ambaye una mpango nae wa kujenga life la pamoja4reva,hicho nazani ni kipimo chako na wengine wenye mtazamo wa ''SEX IS A MUST AS SOON AS SHE SAYS YES'',kuwa patient na watoto wa kike ili uje ule TUNDA peke yako kwa UAMINIFU uliojijengea kwa kuweza kusubiri jst4mayb MIEZI MITATU NA SIKU TATU,kufikia BREAKING POINT YAKE YEYE.
Mie wa kwangu hawezi kuomba kwa mtu baki kama hana njia au msaada wowote kifedha bila kunicheki kwanza,eiza sina kitu na pia sina njia nyingine ya kumsaidia ndo tunakubaliana awacheki watu wake anaowaamini,ambao si VIREDIO MBAO,sabu hata Mie pia nimejikuta saivi nikiwa sina kitu huwa namcheki yeye kwanza kabla ya masela,ILA SISI HUWA KAMA MMOJA WETU AKISEMA ANAKOPA,BASI HUWA ANALIPA KWELI unless asamehewe na mwenzake,au awe ameomba bila kusema ''NIKOPESHE'',hapo ukitoa hudai kitu,AND WE LOVE ONE ANAZA NA LIFE LIKO TOO FAN4US...
ndugu uliyoongea yana ukweli ndani yake,ni kweli kama mtu unampenda akikuomba hela kama unazo utampa,lakini hapa ni tofauti,utofauti unakuja kwenye approach ya kuomba hiyo hela,anaweka sharti kwamba nikitaka kitumbua shurti nimlipie pango,kwa maana hiyo kila ntakapokuwa nataka uroda kutoka kwake lazima nimpe hela,sasa je hiyo ni sahihi na haki?