Wanaume tuweni makini!

Wanaume tuweni makini!

mimi nakushangaa sn mwanaume mwenzangu hv kipindi hiki cha utandawazi ni cha kuhangaishwa na mwanamke mmoja kweli!!!? nitafute nikuonyeshe jinsi ya kuwapata hao walimbwende mimi mpk nafanya kuwakimbia
 
kuna msichana mmoja nilimpenda sana na nilipenda huko mbeleni pengine aje kuwa mke wangu.
Huyo binti amemaliza Masomo yake mwaka huu, kwa Mara ya kwanza yule binti nilimtongoza mwaka Jana alikuwa bado anasoma chuo akanikubalia lakini cha kushangaza matendo yake yalikuwa hayaonyeshi kama ana upendo na mmi,alikuwa hanipigii simu wala kunitumia sms mpaka nimuanze mmi hata kama Ana credit utamuona Ana chati tu online na siku akini beep ujue anashida anataka nimtumie pesa.
Niki mwambia basi tutoke out tuka pumzimke somewhere labda lodge au hotelini hataki, yeye anataka muende bar au restaurant mkale kuku chips yai na vinywaji mkimaliza kila mtu aondoke kivyake.
Binafsi nilimvumilia nikajua labda yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, lakini kilichonishangaza nikaja nikapata taarifa kuwa yule msichana anatoka na ka sharobaro kamoja wanasoma nako huko chuoni kwao kutokana niko busy nilikosa mda wakulifatilia hilo, sikuamini tuhuma hizo,lakini haikupita tena mda mrefu kuna kijana akaja akaniambia kuwa msichana wangu anatoka na kijana mmoja hivi nae ni sharobaro wa mtaani tu na hilo siku lifuatilia pia kutokana niko busy sana kutafuta pesa.
Imepita takribani mwaka mmoja na kitu yule binti sijawahi kufanya mapenzi naye hata siku mmoja, tangu tumekuwa katika mahusiano swala la kufanya mapenzi na mmi amekuwa akilikwepa kila Mara, huwa hakosi sababu, ila mmi nimekuwa nikimhudumia tu kama mpenzi wangu kwa kuamini kuwa yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, na mimi nilikuwa tayari kumvumilia mpaka ndoa kwa sababu nina mapenzi ya dhati kwake.
Mwaka huu 2017 amemaliza chuo,akaniambia nimsaidie kutafuta Kazi, kwa vile mmi hapa mjini nafahamiana na watu wengi sana ambao ni ma boss wa makampuni mbalimbali, kutokana na biashara nazo zifanya, nikampigia Simu rafiki yangu mmoja ambaye ni HR wa kampuni mmoja kubwa hapa Nchini,nikamuomba anisaidie kutafuta nafasi ya kazi hapo ofisini kwake,ili niweze kumsaidia yule msichana kupata kazi,yule HR alinihakikishia atampatia kazi yule binti ila aliniomba nimpe mda kidogo alifanyie Kazi swala langu.
Tukirudi upande wa pili wa huyu binti pamoja na jitahada zangu zote nazo zifanya juu yake nakumuonyesha Jinsi gani nampenda mpaka nikaamua kumvalisha Pete ya Uchumba Lakini yeye bado hanijali, hanionyeshi mapenzi ya aina yoyote huwa ananikumbuka tu Pindi akiwa na shida,lakini ukishamsaidia tu hakutafuti mpaka nimtafute mwenyewe.
Sasa mwaka huu pia nimepata taarifa kuwa huyo msichana kuna kijana mmoja anatoka nae,ikanibidi nifatilie tuhuma hizo nikagundua ni kweli, ila kilichonishangaza kijana mwenyewe anayetokanae hana mbele wala nyuma ni kijana wa mtaani tu kula kulala tu, nilishangaa sana tangu nimekuwa katika mahusiano ya kimapenzi sijawahi kufanya nae mapenzi hata siku mmoja kwa sababu alikuwa anakataa na kulikwepa swala hilo niliamini pengine haniamini labda anataka mpaka tuoane kumbe sivyo,mwezangu alikuwa anagawa kwa vijana wa mtaani tena buree! Hawagharamikii chochote.
Mwaka huu unavyoendelea kuisha Mungu amenijalia nimepata faida kubwa katika biashara zangu, nimepata million zaidi ya 50, nilikuwa nimepanga nimpatie million 20 ili afanye biashara ambayo anaipenda endapo kama angekubali kufunga ndoa na mimi, ili tujenge familia,lakini kutokana na Ujinga wake mwenyewe na kunichukulia mmi zoba,swala la kumtafutia Kazi kule ili afanye kabla hatuja funga ndoa nimelifuta na swala la kumuoa nimelifuta,lakini nashukuru pia nimeweza kuwa nae huyu binti katika mahusiano kwa muda wote huo alikuwa hajui minafanya kazi gani na alikuwa hajui Mali zangu,niliamua kumficha hivyo maksudi ili nije ni msuprize siku tutakapofunga Ndoa,ila nilichojifunza mwanamke kama hakupendi hakupendi tu hata umpe nni hawezi kuku penda!
Jambo jingine nilichojifunza wanawake wanaongozwa sana na (Emotional) katika mapenzi kuliko (logic),kwa nni nasema Hivyo?, (logical)mimi ndio mwanaume niliyekuwa nampenda kwa dhati huyo msichana lakini, (Emotional) yeye hisia zake zilikuwa zinawapenda hao vijana masharobaro wa mtaani ambao hawa msaidii kwa chochote!
Nawashauri wanaume wenzagu tuwe makini sana na hao wanawake tunaotaka kuwaoa lazima tuhakikishe wanakupenda Kweli sio kutu laghai, binafsi nakiri kabisa ule usemi wa Rafiki Yangu mmoja aliwahi kuniambia kwamba"ni rahisi kutafuta pesa ukaipata kuliko kupata mwanamke anayekupenda kwa dhati",kuanzia Leo sina imani tena na mwanamke,mimi ni mpole mstaraabu lakini huyu mwanamke alichonifanyia nimeamini wanawake hawapendi "Nice guy" ila wanapenda "Bad boy" halafu baadae huwa wanakuja kulalamika wanaume wabaya!,kumbe wao ndio wanaotafuta wanaume wabaya! (y)
Halafu mkuu kulikua hakuna ulazima wakuandika faida nilopata milion50 ungeandika faida nilopata tu ingependeza. Hapa naona kama umejifagilia flan hv
 
Mbona me sipatagi wa kunipenda hivi. kwikwii. Pole utampata wa kuupeda kwa dhati
 
Acha UBOYA WEWE,PIGA CHINI FASTA,MBONA MADEMU KIBAO .WATU WANAMLA MPAKA NDOGO
 
kuna msichana mmoja nilimpenda sana na nilipenda huko mbeleni pengine aje kuwa mke wangu.
Huyo binti amemaliza Masomo yake mwaka huu, kwa Mara ya kwanza yule binti nilimtongoza mwaka Jana alikuwa bado anasoma chuo akanikubalia lakini cha kushangaza matendo yake yalikuwa hayaonyeshi kama ana upendo na mmi,alikuwa hanipigii simu wala kunitumia sms mpaka nimuanze mmi hata kama Ana credit utamuona Ana chati tu online na siku akini beep ujue anashida anataka nimtumie pesa.
Niki mwambia basi tutoke out tuka pumzimke somewhere labda lodge au hotelini hataki, yeye anataka muende bar au restaurant mkale kuku chips yai na vinywaji mkimaliza kila mtu aondoke kivyake.
Binafsi nilimvumilia nikajua labda yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, lakini kilichonishangaza nikaja nikapata taarifa kuwa yule msichana anatoka na ka sharobaro kamoja wanasoma nako huko chuoni kwao kutokana niko busy nilikosa mda wakulifatilia hilo, sikuamini tuhuma hizo,lakini haikupita tena mda mrefu kuna kijana akaja akaniambia kuwa msichana wangu anatoka na kijana mmoja hivi nae ni sharobaro wa mtaani tu na hilo siku lifuatilia pia kutokana niko busy sana kutafuta pesa.
Imepita takribani mwaka mmoja na kitu yule binti sijawahi kufanya mapenzi naye hata siku mmoja, tangu tumekuwa katika mahusiano swala la kufanya mapenzi na mmi amekuwa akilikwepa kila Mara, huwa hakosi sababu, ila mmi nimekuwa nikimhudumia tu kama mpenzi wangu kwa kuamini kuwa yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, na mimi nilikuwa tayari kumvumilia mpaka ndoa kwa sababu nina mapenzi ya dhati kwake.
Mwaka huu 2017 amemaliza chuo,akaniambia nimsaidie kutafuta Kazi, kwa vile mmi hapa mjini nafahamiana na watu wengi sana ambao ni ma boss wa makampuni mbalimbali, kutokana na biashara nazo zifanya, nikampigia Simu rafiki yangu mmoja ambaye ni HR wa kampuni mmoja kubwa hapa Nchini,nikamuomba anisaidie kutafuta nafasi ya kazi hapo ofisini kwake,ili niweze kumsaidia yule msichana kupata kazi,yule HR alinihakikishia atampatia kazi yule binti ila aliniomba nimpe mda kidogo alifanyie Kazi swala langu.
Tukirudi upande wa pili wa huyu binti pamoja na jitahada zangu zote nazo zifanya juu yake nakumuonyesha Jinsi gani nampenda mpaka nikaamua kumvalisha Pete ya Uchumba Lakini yeye bado hanijali, hanionyeshi mapenzi ya aina yoyote huwa ananikumbuka tu Pindi akiwa na shida,lakini ukishamsaidia tu hakutafuti mpaka nimtafute mwenyewe.
Sasa mwaka huu pia nimepata taarifa kuwa huyo msichana kuna kijana mmoja anatoka nae,ikanibidi nifatilie tuhuma hizo nikagundua ni kweli, ila kilichonishangaza kijana mwenyewe anayetokanae hana mbele wala nyuma ni kijana wa mtaani tu kula kulala tu, nilishangaa sana tangu nimekuwa katika mahusiano ya kimapenzi sijawahi kufanya nae mapenzi hata siku mmoja kwa sababu alikuwa anakataa na kulikwepa swala hilo niliamini pengine haniamini labda anataka mpaka tuoane kumbe sivyo,mwezangu alikuwa anagawa kwa vijana wa mtaani tena buree! Hawagharamikii chochote.
Mwaka huu unavyoendelea kuisha Mungu amenijalia nimepata faida kubwa katika biashara zangu, nimepata million zaidi ya 50, nilikuwa nimepanga nimpatie million 20 ili afanye biashara ambayo anaipenda endapo kama angekubali kufunga ndoa na mimi, ili tujenge familia,lakini kutokana na Ujinga wake mwenyewe na kunichukulia mmi zoba,swala la kumtafutia Kazi kule ili afanye kabla hatuja funga ndoa nimelifuta na swala la kumuoa nimelifuta,lakini nashukuru pia nimeweza kuwa nae huyu binti katika mahusiano kwa muda wote huo alikuwa hajui minafanya kazi gani na alikuwa hajui Mali zangu,niliamua kumficha hivyo maksudi ili nije ni msuprize siku tutakapofunga Ndoa,ila nilichojifunza mwanamke kama hakupendi hakupendi tu hata umpe nni hawezi kuku penda!
Jambo jingine nilichojifunza wanawake wanaongozwa sana na (Emotional) katika mapenzi kuliko (logic),kwa nni nasema Hivyo?, (logical)mimi ndio mwanaume niliyekuwa nampenda kwa dhati huyo msichana lakini, (Emotional) yeye hisia zake zilikuwa zinawapenda hao vijana masharobaro wa mtaani ambao hawa msaidii kwa chochote!
Nawashauri wanaume wenzagu tuwe makini sana na hao wanawake tunaotaka kuwaoa lazima tuhakikishe wanakupenda Kweli sio kutu laghai, binafsi nakiri kabisa ule usemi wa Rafiki Yangu mmoja aliwahi kuniambia kwamba"ni rahisi kutafuta pesa ukaipata kuliko kupata mwanamke anayekupenda kwa dhati",kuanzia Leo sina imani tena na mwanamke,mimi ni mpole mstaraabu lakini huyu mwanamke alichonifanyia nimeamini wanawake hawapendi "Nice guy" ila wanapenda "Bad boy" halafu baadae huwa wanakuja kulalamika wanaume wabaya!,kumbe wao ndio wanaotafuta wanaume wabaya! (y)


KICHWA CHA HABARI KILIPASWA KIWE, WANAUME TUSIWE WAPUMBAVU, MAANA HAYO YOTE UNAYOYAFANYA NI UJINGA NA NI BELOW NORMAL, LEAVE ALONE KUWA MAKINI!
 
Mwanamke kwa kawaida huwa ana aina tatu za wanaume maishani mwake.
1. Buzi. Huyu huwa ni mtoaji yaani anachunwa ila papuchi huwa halambi labda kwa kulazimisha sana tena kwa machozi. Hii type ya kwanza huwa inadharauliwa sana na kuzodolewa sana na mwanamke husika. Huwa haipewi nafasi ya kuridhisha mwanamke kwani huwa ina force kupata kitu hivyo huwa na fasta akitupa kimoja anavaa pichu fasta anasepa na mwanaume huwa anaridhika kabisa kumbe kaliwa.
2. Shalo au muuzia sura. Huyu ni yule ambaye akitaka kutoka hata kwenda sokoni huambatana wote. Huwa anapenda kuuzia sura sana hawa wengi ni wale wavulana wenye sura za mama zao. Kundi hili pia huwa hawalambi kitu ama wakilamba ni mara moja moja sana.
3. Jembe. Huyu yeye aweza kuwa hata anauza mkaa mchafu mchafu hivi ila kazi anapiga ile mbaya. Huyu huwa hadi anaongwa pesa. Huwezi kuta anaambatana naye sehemu yoyote lakini akitaka.wakati wowote anapata kitu. Hata akishaolewa huwa anamtafuta tu amkune. Jitathimini wewe mwanaume uko nafasi ipi.

Well said!! Big up.....
 
Mkuu kitu nilichogundua ukiwa na Mwanamke au ukamwambia Mwanamke ukiwa sirias suala la kumuoa yeye huwa hayupo sirias,ukimtania yeye ndiyo huwa anakuwa sirias,nadhani ulikosea kumwambia ukweli,we ungeanza kula mzigo ndiyo umgusie ukiwa unakula mzigo alafu akijisshau mpe kabisa mimba ndiyo ungekuwa umeuwa kila kitu na hapo atakuwa ameishiwa pumzi,mithil ya Mbwa amuonapo Chatu,na kingine Wanawake wanawapenda sana Wanaume ambao siyo waoaji na wenye sifa ya umalaya japo kimaneno huwa wanasema wanataka Mwanaume muaminifu,mtulivu na kujiheshimu ila kiuhalisia hawapo hivyo,ukitafuta wa kuoa kwa kuwambia ukwel ni ngumu kuwapata mkuu,maana hawa viumbe walishazoea kudanganywa na ukweli kwao ni uongo na uongo ndiyo ukweli
 
Mkuu mwaka mzima hata kugonga haujagonga demu co bikra ulitegemea mwaka wote huo yeye anatumia maji ya moto au kama umekosa ubunifu wa kumtafuna napata mashaka sana na ww cku hz ukikamata tafuna kwanza ukiona anakuzingua achana nae ukienda sawa ndo unatangaza ndoa
Ndiyo dawa yao
 
Kumpa mwanamke mil 20 ni sawa umenunua Papuchi kwa bei hiyo
 
Kwanza ww ni boya wa kufa m2
Unapewa taarifa za dem kucheat hufuatilii ila unaendelea kuhonga!

Unachukua 20m kumhonga dem ambae hujawahi kudate nae na unajua hakupendi!

Kwanza huyo dem nae mpolipoli kwani angechuku mshiko na kumwoa usimwoe kwani alikuomba hizo pesa, ilitakiwa achukue akamhonge shallo wake.

Hapo ndo ungejua kuwa uboya si ustaarabu bali ni ulimbukeni
 
Pole mkuu kwangu mm mahusiano yawe ya future ya siwe ya future papuchi lazm nilee , maana nawajua Michezoo yao ww ajifanya anakukazia ww kumbe kuna mjinga mmoja anaitafuna tu
 
Si umsahau tu hata akija na magoti. Jifanye humjui kwishne.Tatizo huna mademu wakali. Wakumuumiza roho.

Watu wengine sijui mna mapepo ya ufukara wa madem? Au macho yangu. Mungu kakuponya ukimwi.kifo nuksi mlango wa nane unakuja kulia lia hapa.hadi unatia kinyaa!

Sijawahi ona me Mwenye pesa eti kaachwa eti unalia lia. Huyo demu alikuona matawi.

piga magoti kasali na kushukuru Mungu. me mwenye pesa.sijui magari. Ni pesa pia anaringa bwana weee! Utasikia. "kaka pichukodada jamani umenipita hivi hivi"

""Aaah!!! samahani sijakuona "kiukweli"" hata uwe na mimvi km jiwe.Videm km mvua waweza lala nao hata kumi.

kazi yako kuzishika papuchi tu baasi wanaridhika au UMerogezewa chini?

Jamaa yangu kapigwa chini na dem wake mchaga wa kitambo, wana binti mmoja.

Jamaa angu kapiga kimya na kampatia hela ya kushukuru. So kamjibu na demu mkali wa South na akahama Bongo kabisaaa! Na uraia kachukua huko!!!

Huyu kamsahau kwanza ananuka jasho la bongo maji chumvi kisima nani anataka?

Huyo demu nampa miaka 3 mbele atakuwa km kinyago.choka mbaya

ukibisha muulize Nesi Mwabaya wa chalinze njia panda pale. Ana uza ugoro Siku hizi tena na cOvid hii huenda kesha kufa.
Kimya aliskia tu kwa watu
 
Wanawake hawatabiliki mkuu kikubwa upo vzr kipesa unaweza nunua hata malaya akuzalie mtoto ambaye atakua mrithi wako , mm dem wangu natomba kila siku na namkojoza vzr lkn bado dharau zipo pale pale kwahyo muda mwingine inakua hulka ya mtu, kwasisi ambao hatuna uchumi mzr tusipokuwa makini tunaweza kufa maskini kwa kuwaza mwanamke , pia kutojua background ya dem inaweza kukutesa sana maana unaweza kuwa unamlizisha lkn hakupendi ww yupo naww kwaajili ya nyege zake
 
kuna msichana mmoja nilimpenda sana na nilipenda huko mbeleni pengine aje kuwa mke wangu.
Huyo binti amemaliza Masomo yake mwaka huu, kwa Mara ya kwanza yule binti nilimtongoza mwaka Jana alikuwa bado anasoma chuo akanikubalia lakini cha kushangaza matendo yake yalikuwa hayaonyeshi kama ana upendo na mmi,alikuwa hanipigii simu wala kunitumia sms mpaka nimuanze mmi hata kama Ana credit utamuona Ana chati tu online na siku akini beep ujue anashida anataka nimtumie pesa.
Niki mwambia basi tutoke out tuka pumzimke somewhere labda lodge au hotelini hataki, yeye anataka muende bar au restaurant mkale kuku chips yai na vinywaji mkimaliza kila mtu aondoke kivyake.
Binafsi nilimvumilia nikajua labda yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, lakini kilichonishangaza nikaja nikapata taarifa kuwa yule msichana anatoka na ka sharobaro kamoja wanasoma nako huko chuoni kwao kutokana niko busy nilikosa mda wakulifatilia hilo, sikuamini tuhuma hizo,lakini haikupita tena mda mrefu kuna kijana akaja akaniambia kuwa msichana wangu anatoka na kijana mmoja hivi nae ni sharobaro wa mtaani tu na hilo siku lifuatilia pia kutokana niko busy sana kutafuta pesa.
Imepita takribani mwaka mmoja na kitu yule binti sijawahi kufanya mapenzi naye hata siku mmoja, tangu tumekuwa katika mahusiano swala la kufanya mapenzi na mmi amekuwa akilikwepa kila Mara, huwa hakosi sababu, ila mmi nimekuwa nikimhudumia tu kama mpenzi wangu kwa kuamini kuwa yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, na mimi nilikuwa tayari kumvumilia mpaka ndoa kwa sababu nina mapenzi ya dhati kwake.
Mwaka huu 2017 amemaliza chuo,akaniambia nimsaidie kutafuta Kazi, kwa vile mmi hapa mjini nafahamiana na watu wengi sana ambao ni ma boss wa makampuni mbalimbali, kutokana na biashara nazo zifanya, nikampigia Simu rafiki yangu mmoja ambaye ni HR wa kampuni mmoja kubwa hapa Nchini,nikamuomba anisaidie kutafuta nafasi ya kazi hapo ofisini kwake,ili niweze kumsaidia yule msichana kupata kazi,yule HR alinihakikishia atampatia kazi yule binti ila aliniomba nimpe mda kidogo alifanyie Kazi swala langu.
Tukirudi upande wa pili wa huyu binti pamoja na jitahada zangu zote nazo zifanya juu yake nakumuonyesha Jinsi gani nampenda mpaka nikaamua kumvalisha Pete ya Uchumba Lakini yeye bado hanijali, hanionyeshi mapenzi ya aina yoyote huwa ananikumbuka tu Pindi akiwa na shida,lakini ukishamsaidia tu hakutafuti mpaka nimtafute mwenyewe.
Sasa mwaka huu pia nimepata taarifa kuwa huyo msichana kuna kijana mmoja anatoka nae,ikanibidi nifatilie tuhuma hizo nikagundua ni kweli, ila kilichonishangaza kijana mwenyewe anayetokanae hana mbele wala nyuma ni kijana wa mtaani tu kula kulala tu, nilishangaa sana tangu nimekuwa katika mahusiano ya kimapenzi sijawahi kufanya nae mapenzi hata siku mmoja kwa sababu alikuwa anakataa na kulikwepa swala hilo niliamini pengine haniamini labda anataka mpaka tuoane kumbe sivyo,mwezangu alikuwa anagawa kwa vijana wa mtaani tena buree! Hawagharamikii chochote.
Mwaka huu unavyoendelea kuisha Mungu amenijalia nimepata faida kubwa katika biashara zangu, nimepata million zaidi ya 50, nilikuwa nimepanga nimpatie million 20 ili afanye biashara ambayo anaipenda endapo kama angekubali kufunga ndoa na mimi, ili tujenge familia,lakini kutokana na Ujinga wake mwenyewe na kunichukulia mmi zoba,swala la kumtafutia Kazi kule ili afanye kabla hatuja funga ndoa nimelifuta na swala la kumuoa nimelifuta,lakini nashukuru pia nimeweza kuwa nae huyu binti katika mahusiano kwa muda wote huo alikuwa hajui minafanya kazi gani na alikuwa hajui Mali zangu,niliamua kumficha hivyo maksudi ili nije ni msuprize siku tutakapofunga Ndoa,ila nilichojifunza mwanamke kama hakupendi hakupendi tu hata umpe nni hawezi kuku penda!
Jambo jingine nilichojifunza wanawake wanaongozwa sana na (Emotional) katika mapenzi kuliko (logic),kwa nni nasema Hivyo?, (logical)mimi ndio mwanaume niliyekuwa nampenda kwa dhati huyo msichana lakini, (Emotional) yeye hisia zake zilikuwa zinawapenda hao vijana masharobaro wa mtaani ambao hawa msaidii kwa chochote!
Nawashauri wanaume wenzagu tuwe makini sana na hao wanawake tunaotaka kuwaoa lazima tuhakikishe wanakupenda Kweli sio kutu laghai, binafsi nakiri kabisa ule usemi wa Rafiki Yangu mmoja aliwahi kuniambia kwamba"ni rahisi kutafuta pesa ukaipata kuliko kupata mwanamke anayekupenda kwa dhati",kuanzia Leo sina imani tena na mwanamke,mimi ni mpole mstaraabu lakini huyu mwanamke alichonifanyia nimeamini wanawake hawapendi "Nice guy" ila wanapenda "Bad boy" halafu baadae huwa wanakuja kulalamika wanaume wabaya!,kumbe wao ndio wanaotafuta wanaume wabaya! (y)
Hii story yako inafafana na yangu kabisa, hilo ndio somo ambalo hata mimi nimejifunza kwa hawa viumbe . Hawanaga akili nzuri japo sio wote vumilia mzee hilo litapita mkuu
 
Duh we kweli ndezi,unahonga 29m kisa unabembeleza ndoa?
 
Back
Top Bottom