Mwanamke kwa kawaida huwa ana aina tatu za wanaume maishani mwake.
1. Buzi. Huyu huwa ni mtoaji yaani anachunwa ila papuchi huwa halambi labda kwa kulazimisha sana tena kwa machozi. Hii type ya kwanza huwa inadharauliwa sana na kuzodolewa sana na mwanamke husika. Huwa haipewi nafasi ya kuridhisha mwanamke kwani huwa ina force kupata kitu hivyo huwa na fasta akitupa kimoja anavaa pichu fasta anasepa na mwanaume huwa anaridhika kabisa kumbe kaliwa.
2. Shalo au muuzia sura. Huyu ni yule ambaye akitaka kutoka hata kwenda sokoni huambatana wote. Huwa anapenda kuuzia sura sana hawa wengi ni wale wavulana wenye sura za mama zao. Kundi hili pia huwa hawalambi kitu ama wakilamba ni mara moja moja sana.
3. Jembe. Huyu yeye aweza kuwa hata anauza mkaa mchafu mchafu hivi ila kazi anapiga ile mbaya. Huyu huwa hadi anaongwa pesa. Huwezi kuta anaambatana naye sehemu yoyote lakini akitaka.wakati wowote anapata kitu. Hata akishaolewa huwa anamtafuta tu amkune. Jitathimini wewe mwanaume uko nafasi ipi.