Wanaume tuweni makini!

Wanaume tuweni makini!

Mwanamke kwa kawaida huwa ana aina tatu za wanaume maishani mwake.
1. Buzi. Huyu huwa ni mtoaji yaani anachunwa ila papuchi huwa halambi labda kwa kulazimisha sana tena kwa machozi. Hii type ya kwanza huwa inadharauliwa sana na kuzodolewa sana na mwanamke husika. Huwa haipewi nafasi ya kuridhisha mwanamke kwani huwa ina force kupata kitu hivyo huwa na fasta akitupa kimoja anavaa pichu fasta anasepa na mwanaume huwa anaridhika kabisa kumbe kaliwa.
2. Shalo au muuzia sura. Huyu ni yule ambaye akitaka kutoka hata kwenda sokoni huambatana wote. Huwa anapenda kuuzia sura sana hawa wengi ni wale wavulana wenye sura za mama zao. Kundi hili pia huwa hawalambi kitu ama wakilamba ni mara moja moja sana.
3. Jembe. Huyu yeye aweza kuwa hata anauza mkaa mchafu mchafu hivi ila kazi anapiga ile mbaya. Huyu huwa hadi anaongwa pesa. Huwezi kuta anaambatana naye sehemu yoyote lakini akitaka.wakati wowote anapata kitu. Hata akishaolewa huwa anamtafuta tu amkune. Jitathimini wewe mwanaume uko nafasi ipi.
Mimi ni yule ambaye wanasema " GANGSTA " kwanza ni mpole, mstaharabu, mtanashati, mwerevu, mwenye hekima, heshima, na busara, pia napenda Amani na Upendo lakini simaindishi " wanawake " nasaka " pesa " tu....
 
Mapenzi si pesa ulidhani labda atakuelewa kirahisi kisa unampa pesa za matumizi? Hao masharobaro unaosema hawana mbele wala nyma ndo wanao mpa raha ya mapnzi. Jifunze kusoma alama za nyakati
Hao masharo watalipa tu hizo hela walizokula hakuna cha bure duniani....
 
Hahaa nimejikuta nimecheka ila pole mkaka, huyo dada inawezekana hajakua na hajawahi kukutana na mauza uza kwenye mahusiano

Utapata tu wa kufanana na wewe huyo hakuwahi kukupenda
 
Mwanamke kwa kawaida huwa ana aina tatu za wanaume maishani mwake.
1. Buzi. Huyu huwa ni mtoaji yaani anachunwa ila papuchi huwa halambi labda kwa kulazimisha sana tena kwa machozi. Hii type ya kwanza huwa inadharauliwa sana na kuzodolewa sana na mwanamke husika. Huwa haipewi nafasi ya kuridhisha mwanamke kwani huwa ina force kupata kitu hivyo huwa na fasta akitupa kimoja anavaa pichu fasta anasepa na mwanaume huwa anaridhika kabisa kumbe kaliwa.
2. Shalo au muuzia sura. Huyu ni yule ambaye akitaka kutoka hata kwenda sokoni huambatana wote. Huwa anapenda kuuzia sura sana hawa wengi ni wale wavulana wenye sura za mama zao. Kundi hili pia huwa hawalambi kitu ama wakilamba ni mara moja moja sana.
3. Jembe. Huyu yeye aweza kuwa hata anauza mkaa mchafu mchafu hivi ila kazi anapiga ile mbaya. Huyu huwa hadi anaongwa pesa. Huwezi kuta anaambatana naye sehemu yoyote lakini akitaka.wakati wowote anapata kitu. Hata akishaolewa huwa anamtafuta tu amkune. Jitathimini wewe mwanaume uko nafasi ipi.
Chaaaaa!...asee
 
mimi ninachakiona ni kwamba.

yule dada bdo hajawa tayari kuface ndoa lakini wewe mahusiano unayoyataka tokea mwanzo ni ya sereous na mtu mwenyewe inaonekana bdo anakili za kitoto so aliliona akikuachia pupuchi utamnyang'anya uhuru wa kujiachia.

wewe yule ungetengeneza mazingira ya kumto.. tu then hayo mambo mengine yatajipa mbelekwambele.
 
Kama iyo story yako inaukweli basi unaroh ngumu sana zaidi yapaka. Ila usijali wanawake utawapata wengi watakuja huko PM. Walishaona Fursa hii hapa yakunyakuwa mamilioni.
 
Pole kijana, na bora umetambua mapma Maake huyo hata ungemuoa huenda angekusababishia2 stress za kudum
 
Hapana sijarudia lilelile mkuu, bali nilikuwa namkanya aache ufala wa kuwatukana wenzake bila sababu.
Haha yeye ametukana na wewe ukaona umuonye kwa kumtukana. Ni sahihi kweli?
 
Mapenzi pesa au kupeti???Mimi iliwahi kunitokeaga hayo mambo mwaka Fulani nashukuru nilijiotoa hawa wanawake wengi wao akili zao ni za kuku
 
Back
Top Bottom