Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,591
- 4,638
wengi kwa asilimia ngapi?Wapo wengi tu.
wengi kwa asilimia ngapi?Wapo wengi tu.
so mwanamke akiwa na pesa hawezi kunyNasema ninachokiishi. I am a living testimony.
I am well educated and am married too with two kids.
Nisichokitaka Ni Hawa mabinti waweke ndoto zao pembeni kisa wanakimbilia ndoa na hivyo kuishia kuwa tegemezi na hatimae kunyanyasika sababu hawana A Wala B.
I already explained.so mwanamke akiwa na pesa hawezi kuny
anyasika ndani ya ndoa? manyanyaso gani hayo unayasema?
Nawajua wanawake wengi tu wanaowasaidia waume zao katika kuhudumia familia.wengi kwa asilimia ngapi?
kwa asilimia ngapi mamii?Nawajua wanawake wengi tu wanaowasaidia waume zao katika kuhudumia familia.
Asilimia ya wanawake ama asilimia ya wanachokitoa kwa ajili ya familia?kwa asilimia ngapi mamii?
duuh!Asilimia ya wanawake ama asilimia ya wanachokitoa kwa ajili ya familia?
mtoa maada kasema kama huna lengo la kuwa na serious relationship/ndoa basi usidate na mwanamke wa 27+.sasa nashangaa hawa mademu wanamwaga povu naona wana stress au kujishtukia labdaInawezekana ni mm peke yangu ndio sijamuelewa vizuri mleta mada; naona wadada wengi walio 27+ wanatoa mapovu ila binafsi naona km mtoa mada kawapa credit hawa wadada na hakuwaponda kama anavyoshambuliwa...naweza kuwa siko sahihi ila kwa kifupi nimeelewa kwamba wadada wa umri huu yani ni vigumu sana kuchezewa ni watu ambao huwa na misimamo na huhitaji wanaume walio serious wa kuanzisha nao familia,sijui nimewaza vema?
kuna dada humu alikuja kulalamika alikuwa ana 28 kuna mtu akampotezea muda miaka 3.in reality wanawake ndo walalamikaji wakubwa katika mahusiano mara waseme wanaume wana tamaa mara wanaume wa kiafrika hawajui kupenda n.k saizi wametengeneza hadi kipindi chao Cha women mattersMbona hii imebase kwenye hisia zenu za kutokujiami maana huo umri ungekuwa tatizo ungekuta mada za wadada kulia Lia huku kuhusu kuchezea, but instead mada nyingi za watu humu kulia Lia ni wanaume wameumizwa, so instead ya wanaume kujifanya kutuonea huruma wanawake ajuza hatuolewi huo mda mnge invest kwenye kuboresha uchumi wenu na maisha yenu sisi wanawake tumeamka tunafanya kazi kwa bidii, so better improve ur mental health and ur insecurities towards women's maana you can't change anything imagine mwanaume unaumizwa na wanawake Mimi naona Kuna shida
kweli kabisa jioni na asubuhi anaijua mwanaume a.k.a muoajiHiyo jioni na asubuhi unaijua wewe
Wanaume waoaji hawana akili za kijinga namna hiikweli kabisa jioni na asubuhi anaijua mwanaume a.k.a muoaji
Si kweli mada nyingi humu za mahusiano ni wanaume plus stress za life ni common Sana, seems mahusiano wanaume ni victim wakubwakuna dada humu alikuja kulalamika alikuwa ana 28 kuna mtu akampotezea muda miaka 3.in reality wanawake ndo walalamikaji wakubwa katika mahusiano mara waseme wanaume wana tamaa mara wanaume wa kiafrika hawajui kupenda n.k saizi wametengeneza hadi kipindi chao Cha women matters
Sasa kwa dunia huu kutaka mwenzi wa kwako tu impossible na hyo wanaume kuwa polygamous huwa ni kujihalalishia tu in short we women's like different taste of people since watu hutofautiana, mie mwenyewe siwezi mind mtu wangu kisa cheating coz na mie napenda vya tofauti, that's why napenda mahusiano ya kupeana nafasi na sio yakutaka kumilikianakuumizwa ni kawaida. There is No free travel in this voyage.
Men lie, women lie. ila wanaume wengi sie huwa hatupendi kuibiwa kabisa ila sie tunapenda kuiba. Siujua tena mwizi hapendi kuibiwa that's why wanaume utakuta tunalalamika Unajua kwa nini tunapenda kuiba (ku-cheat) na hatupendi kuibiwa???? Simply because, By default men are polygamous.. i know it sounds so silly but that is how men are. Monogamist alikuwa Adam kwa Eve wake.
huwezi kukasirika mtu akicheat??? wewe mwanamke wa kipekee sanaSasa kwa dunia huu kutaka mwenzi wa kwako tu impossible na hyo wanaume kuwa polygamous huwa ni kujihalalishia tu in short we women's like different taste of people since watu hutofautiana, mie mwenyewe siwezi mind mtu wangu kisa cheating coz na mie napenda vya tofauti, that's why napenda mahusiano ya kupeana nafasi na sio yakutaka kumilikiana
waoaji hawa hawa mnaolalamika kwamba wanachepuka,wanazaa watoto nje + wanawaletea mpaka magonjwa au waoaji gani unawasema?Wanaume waoaji hawana akili za kijinga namna hii
Kwanini nikasirike kwa maamuzi ya mtu mzima life is too short as long as Kuna kitu changu nakipata won't pain me, and I don't have any expectations kwa mtuhuwezi kukasirika mtu akicheat??? wewe mwanamke wa kipekee sana
Huogopi magonjwa mkuuKwanini nikasirike kwa maamuzi ya mtu mzima life is too short as long as Kuna kitu changu nakipata won't pain me, and I don't have any expectations kwa mtu
Sikuna vipimo vya kupima
Nilikuuliza hizo ndoto ni zipi na zinachukua muda gani kufanikisha for a reason. We kama mwanamke ukiwa ambitious na big dreams ambazo kuzifanikisha kwake ni mpaka ukiwa above 30s ndio uolewe you'll be on the loosing side lady, why?
Inajulikana women marry up(hypergammy) and men marry down, let's assume upo early 30s umeshafanikisha ndoto zako, utaangalia washkaji wa mid 30s kwenda juu ambao wameachieve financial security unayoitaka, mind you kuanzia mid 30s mwanaume na yeye anakuwa kwenye prime, if his finances are in place and he's taking good care of himself physically. Kwa iyo unataka kuniambia huyu mwanaume ambaye sasa he's spoiled with choices when it comes to women due to his financial position ikifika kwenye suala la ndoa atakuchugua wewe uliyezaliwa 80s huko na kuwaacha wadogo zako wabichi wenye natural beauty wanaocheza btn 18-25.
Madhumuni ya wengi kuingia kwenye ndoa ni procreation, hivi unajua wanawake wakifika miaka 30 chances za kupata mimba on the first trial zinapungua tofauti na hawa walio on their 20s, na umri unavyozidi kwenda juu kunakuwa na chances kubwa ya kuzaa watoto wenye disabilities.
To begin with, they will not be on the losing side. They have to be humble and submissive and their careers should lean on assisting the husband to take care of the family.
If I get married and I have my property, say land, a house or cars how is that detrimental to the well being of my marriage?
Manyanyaso unaweza kuyapata Sana lakini Ile dhana ya kwamba huwezi ondoka because huna A Wala B haitakuwepo.
A woman having her own money is insurance against unforeseen circumstances that may or may not arise from marriage.
Kuhusu ndoto, each woman or even man has her own dreams. I dreamt of so many material things and to travel wide but I also dreamt of getting married to a tall dark guy with a tummy and have many kids. At least 7. 😆😆🤫🤫
Thank You.
To begin with, they will not be on the losing side. They have to be humble and submissive and their careers should lean on assisting the husband to take care of the family.
If I get married and I have my property, say land, a house or cars how is that detrimental to the well being of my marriage?
Manyanyaso unaweza kuyapata Sana lakini Ile dhana ya kwamba huwezi ondoka because huna A Wala B haitakuwepo.
A woman having her own money is insurance against unforeseen circumstances that may or may not arise from marriage.
Kuhusu ndoto, each woman or even man has her own dreams. I dreamt of so many material things and to travel wide but I also dreamt of getting married to a tall dark guy with a tummy and have many kids. At least 7. 😆😆🤫🤫
Men lie, Women lie. Wote ni victims, ila kwenye jamii kiujumla wanawake ndo victims wakubwa.Si kweli mada nyingi humu za mahusiano ni wanaume plus stress za life ni common Sana, seems mahusiano wanaume ni victim wakubwa