Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 352
- 547
Kumekuwa na Trend kubwa ya Wadada/ Michepuko kuvujisha Picha za Faragha wanapokuwa na wapenzi au watu wao.
Mfano MCpilipili, Nyalandu, na aliyekuwa katibu mwenezi wa CCM.
Hii imekuwa kama tabia sasa, wadada kuwapiga picha waume za watu hao na kushare mitaoni, japo lengo halijukani haswa, Ukiangalia Angle ya Picha ilivyopiga mwanamke haonekana na inaonekana imepigwa harakaharaka kwa kujificha, na sio kutokea Dirishani.
Au Video akimrekodi akiingia Room, maadili yaenda kuaribika sasa, vijana tuweni makini mnoo, yaaije yakakukuta ukaja laumu kila mtu.
Na waliofanya hivyo sheria ifaye mkondo wake, kwasababu endapo akafanya hivyo Mwanaume mnajua kitakachomkuta..
Hii haijakaa kijinsia lakini ni hali halisi inayokuja kwa kasi sanaa hivi karibuni.
Mfano MCpilipili, Nyalandu, na aliyekuwa katibu mwenezi wa CCM.
Hii imekuwa kama tabia sasa, wadada kuwapiga picha waume za watu hao na kushare mitaoni, japo lengo halijukani haswa, Ukiangalia Angle ya Picha ilivyopiga mwanamke haonekana na inaonekana imepigwa harakaharaka kwa kujificha, na sio kutokea Dirishani.
Au Video akimrekodi akiingia Room, maadili yaenda kuaribika sasa, vijana tuweni makini mnoo, yaaije yakakukuta ukaja laumu kila mtu.
Na waliofanya hivyo sheria ifaye mkondo wake, kwasababu endapo akafanya hivyo Mwanaume mnajua kitakachomkuta..
Hii haijakaa kijinsia lakini ni hali halisi inayokuja kwa kasi sanaa hivi karibuni.