Wanaume tunatafuta pesa kwa ajili ya wanawake?

Wanaume tunatafuta pesa kwa ajili ya wanawake?

Desire mobutu seseseko

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2018
Posts
1,002
Reaction score
1,473
Habari wakuu, kwa utafiti wangu wa kawaida kutokana na miangaiko na pirika pirika za maisha nmeona kuwa wanaume tunatafuta pesa kwa ajili ya wanawake haswa..japo zipo sababu nyingine lakini kuubwa ni kuhusu hawa viumbe.

Hivi kwanni mwanaume akipata hela anaona kitu pekee alichokosa kwa wakati huo ni WANAWAKE

Na kwa upande wa wanawake, mwanamke akiwa na pesa kuwa na mwanaume si kipaombele chake kikubwa saana!! yan anaona anaweza endesha maisha yake bila shaka kabisa.

uzi tayarii!! karibuni
 
Mkuu Rudi kafanye Tena uchunguzi lakini Hali halisi iki hvi wanaume tunatamaa Sana Tena tukiwa na pesa tunakuwa Kama fisi hatutaki kukosa kila kinachopita mbele ya macho yetu lakini sio wote wapo kina yohana huko wala Wana pesa lakini wanaenda kugwajimika home kila siku

Lakini kuhusu wanawake ni kwamba hakuna mwanamke chini ya jua hili anae penda kupelekeshwa ndo maana wakipata pesa hawawezi kuishi na WANAUME maana sisi wanaume asili yetu tunapenda kujikweza hata pindi tunamakosa ndo maana maana tunaona Kama wakipata pesa Kama ndo wanafanya kipaumbele Chao.
 
SIO KWELI KWAMBA MWANAMKE AKIWA NA HELA ANAWAZA KUISHI BILA MWANAUME.
Yaan baada ya kusoma tuu huu uzii nimeona nitafute comment yako kwanza. 😂😂😂 realy unajuaga kunifurahisha saan you talk true panapo paswa kusema ukweli i real like that. I love you
 
Mkuu Rudi kafanye Tena uchunguzi lakini Hali halisi iki hvi wanaume tunatamaa Sana Tena tukiwa na pesa tunakuwa Kama fisi hatutaki kukosa kila kinachopita mbele ya macho yetu lakini sio wote wapo kina yohana huko wala Wana pesa lakini wanaenda kugwajimika home kila siku

Lakini kuhusu wanawake ni kwamba hakuna mwanamke chini ya jua hili anae penda kupelekeshwa ndo maana wakipata pesa hawawezi kuishi na WANAUME maana sisi wanaume asili yetu tunapenda kujikweza hata pindi tunamakosa ndo maana maana tunaona Kama wakipata pesa Kama ndo wanafanya kipaumbele Chao.
nimekuelewa saana mkuu
 
Unaumwa wewe...jisemee wewe wengine tukipata pesa cha kwanza ni
Pombee...nikishiba hizo sasa ndio wanafuata hao


IMG-20201205-WA0054.jpg
 
Back
Top Bottom