Wanaume tunarogwa sana na wanawake

Wanaume tunarogwa sana na wanawake

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,136
Reaction score
33,541
Jamani jamani wanaume wenzangu tupunguze idadi ya wanawake.

Nawaambia hili baada ya kutoka gamboshi kwa rafiki yangu.

Mwanaume unapotongoza ina maana una mdanganya kwa uongo wa malengo kama kumuoa, kuishi naye, uchumba wa malengo, sehemu yake ya maisha na n.k

Sasa yeye mwanamke ili kuweka sawa usitoke kwenye himaya yake lazima kwenda kutafuta kinga itakayo kukamata wewe kwa njia yoyote.

Mfano kwa nini tunarogwa sana?!

Una wanawake 5
1- Huyu kakuweka kwenye chupa.
2-Huyu kachukua manii zako
3-Huyu kakuogesha dawa bila kujua
4-Huyu kakuwekea kwenye chakula
5-Huyu kakuchinjia mbuzi

Ukitoka hapo kama umekaa mwenyewe unaanza kuongea mwenye au unataja majina ya wote utazani mtangazaji wa mpira.
 
Mambo ya kulogana kisa mapenzi bado yapo kumbe
 
Jamani jamani wanaume wenzangu tupunguze idadi ya wanawake.

Nawaambia hili baada ya kutoka gamboshi kwa rafiki yangu.

Mwanaume unapotongoza ina maana una mdanganya kwa uongo wa malengo kama kumuoa, kuishi naye, uchumba wa malengo, sehemu yake ya maisha na n.k

Sasa yeye mwanamke ili kuweka sawa usitoke kwenye himaya yake lazima kwenda kutafuta kinga itakayo kukamata wewe kwa njia yoyote.

Mfano kwa nini tunarogwa sana?!

Una wanawake 5
1- Huyu kakuweka kwenye chupa.
2-Huyu kachukua manii zako
3-Huyu kakuogesha dawa bila kujua
4-Huyu kakuwekea kwenye chakula
5-Huyu kakuchinjia mbuzi

Ukitoka hapo kama umekaa mwenyewe unaanza kuongea mwenye au unataja majina ya wote utazani mtangazaji wa mpira.
1- Huyu kakuweka kwenye chupa.
2-Huyu kachukua manii zako
3-Huyu kakuogesha dawa bila kujua
4-Huyu kakuwekea kwenye chakula
5-Huyu kakuchinjia mbuzi
 
Unajifanya hujui! Mpaka Sahivi nahangaika ulivyoniroga nikakupenda almanusra uniue we mwanamke!.. Tena hiyo mizimu ya kwenu ni hatari maana ilinifanya maji nikaita mma..😂
Half niliskia yule mganga niliyeenda kukufanyia mambo amedanja, nilitaka nikakukomboe😛 pole chalii angu vumilia tu ndo mapenzi hayo😂😂
 
Half niliskia yule mganga niliyeenda kukufanyia mambo amedanja, nilitaka nikakukomboe😛 pole chalii angu vumilia tu ndo mapenzi hayo😂😂
Ndo usinitese sasa si uliniroga mwenyewe tutulie mma wangu..😅
 
Hako ka lenie aisee ni kiboko kana mizimu ikipanda inaomba hadi kitimoto ikimaliza inaomba na maji Kisha inamalizia na ubuyu huku ikitema mbegu..🤣
KENZY hahahahaa sio mzima wewe ujuee
 
Back
Top Bottom