Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,066
Wanawake ukishamsaidia kitu anaona kama ndio wajibu wako.Mkuu sisi wengine ni wastaarabu mno jamani, ukipika tunakupa sifa kemkem na hatuthubutu kabisa kukuambia Leo pika....
Kumpangia mume zamu ya kupika ni dhambi isiyovumilika na ni jeuri inayoua vibaya.
Mtajifanya kutusifia ili tuwe tunapika mara kwa mara.
Na mnavyopenda kusifiwa, hamkawii kumwambia mume akapike chakula ili wenzako waone kuwa huwa unapikiwa