goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
Siyo umuachie halafu akitoka umfuatilie nyuma nyuma....nitamuacha siku moja moja.

Siyo umuachie halafu akitoka umfuatilie nyuma nyuma....nitamuacha siku moja moja.

Bado sijamchoka jamaniiii....ukiona naanza kukufwatilia ujue nakutafutia sababu.Siyo umuachie halafu akitoka umfuatilie nyuma nyuma....![]()
![]()
Ha ha ha kumbe wifi weyeMhehe wangu kwanza Nguo anafua mwenyewe.... ! Alafu jioni ya Leo alienda kunyoa salon akakutana na mkalifya, kesho ataupika mwenyewe....! Love to be her Mrs.
Duuuh so mkichoka huwa mnatafutia sababu.Bado sijamchoka jamaniiii....ukiona naanza kukufwatilia ujue nakutafutia sababu.

Baba anafanya kazi Jumatatu mpaka Ijumaa, anarudi jioni amechoka mama anamuandalia chakula kama si mama dada wa kazi.
Jumamosi kuna shughuli nyingi sana za kufanya nyumbani, lakini baba anaacha pesa mjijue, anategemea mama asafishe nyumba, amfulie nguo zake pamoja na za watoto na mashuka bila kusahau mataulo.
Mama aende sokoni akafanye shopping ya wiki, apike na kumuwekea baba chakula. Jumapili pia.
Kama unaweza kumsaidia mke wako kusafisha nyumba kabla hujatoka na mfanye wote shopping. Jumapili baba akipika chakula cha familia that is romantic. Tunapenda kubembelezwa
Sikushangai yawezekana na wew ni mmoja wapoMbona ni kitu cha kawaida mkuu.
Exactly...Hujakaa vzr unapewa lingine
Mume bwege
Kwakweli, mhehe hana shida.Ha ha ha kumbe wifi weye
Mkuu sisi wengine ni wastaarabu mno jamani, ukipika tunakupa sifa kemkem na hatuthubutu kabisa kukuambia Leo pika....Ujinga huu.
Hata kama najua kupika infact hata mke wangu hilo analitambua lakini siwezi kukaa jikoni kupika eti namsaidia.
Unless tuko wawili na yeye anaumwa.
Hamuachagi kutupangia zamu kwa akili zenu zilivyo.
Nikiwa mdogo nilifundishwa kupika lakini mama alinionya kuwa ananifundisha ili niweze kusurvive na sio kupangiwa kupika na mke yupo.
Nguo nikiamua huwa nafua mpaka chupi zake lakini asinipangie kuwa leo zamu yako kufua.
Kupika!!
Hii nidhambi kwa mwanaume aliyelipa mahari!!
Baba anafanya kazi Jumatatu mpaka Ijumaa, anarudi jioni amechoka mama anamuandalia chakula kama si mama dada wa kazi.
Jumamosi kuna shughuli nyingi sana za kufanya nyumbani, lakini baba anaacha pesa mjijue, anategemea mama asafishe nyumba, amfulie nguo zake pamoja na za watoto na mashuka bila kusahau mataulo.
Mama aende sokoni akafanye shopping ya wiki, apike na kumuwekea baba chakula. Jumapili pia.
Kama unaweza kumsaidia mke wako kusafisha nyumba kabla hujatoka na mfanye wote shopping. Jumapili baba akipika chakula cha familia that is romantic. Tunapenda kubembelezwa
Nimeskia, namimi pia naamini inapendeza kusaidiana kazi mume + mke.Baba anafanya kazi Jumatatu mpaka Ijumaa, anarudi jioni amechoka mama anamuandalia chakula kama si mama dada wa kazi.
Jumamosi kuna shughuli nyingi sana za kufanya nyumbani, lakini baba anaacha pesa mjijue, anategemea mama asafishe nyumba, amfulie nguo zake pamoja na za watoto na mashuka bila kusahau mataulo.
Mama aende sokoni akafanye shopping ya wiki, apike na kumuwekea baba chakula. Jumapili pia.
Kama unaweza kumsaidia mke wako kusafisha nyumba kabla hujatoka na mfanye wote shopping. Jumapili baba akipika chakula cha familia that is romantic. Tunapenda kubembelezwa
Baba anafanya kazi Jumatatu mpaka Ijumaa, anarudi jioni amechoka mama anamuandalia chakula kama si mama dada wa kazi.
Jumamosi kuna shughuli nyingi sana za kufanya nyumbani, lakini baba anaacha pesa mjijue, anategemea mama asafishe nyumba, amfulie nguo zake pamoja na za watoto na mashuka bila kusahau mataulo.
Mama aende sokoni akafanye shopping ya wiki, apike na kumuwekea baba chakula. Jumapili pia.
Kama unaweza kumsaidia mke wako kusafisha nyumba kabla hujatoka na mfanye wote shopping. Jumapili baba akipika chakula cha familia that is romantic. Tunapenda kubembelezwa
Hizi mambo ni kabila na kabila, Sisi hii kwetu ni strictly prohibited, since childhood mnaaminishwa jikoni ni pa ke only, hata kupita pita jikoni mwanaume marufuku, ndo nini uje ukute mama yako au dada yako kakaa vibayaYaani mpaka watoto wanakua hawajawahi kula chakula alichopika baba!
MhUjinga huu.
Hata kama najua kupika infact hata mke wangu hilo analitambua lakini siwezi kukaa jikoni kupika eti namsaidia.
Unless tuko wawili na yeye anaumwa.
Hamuachagi kutupangia zamu kwa akili zenu zilivyo.
Nikiwa mdogo nilifundishwa kupika lakini mama alinionya kuwa ananifundisha ili niweze kusurvive na sio kupangiwa kupika na mke yupo.
Nguo nikiamua huwa nafua mpaka chupi zake lakini asinipangie kuwa leo zamu yako kufua.
Kupika!!
Hii nidhambi kwa mwanaume aliyelipa mahari!!