Wanaume tunapenda kula chakula mlichopika

Wanaume tunapenda kula chakula mlichopika

Mapenzi hayana formula.. Wengine wanapenda wapigwe na waume zao.. Ww acha uvivu, unaingiza ujanja ujanja ili usaidiwe... Pambaf
 
Hayo Mambo inatakiwa kufanya kwenye nyumba mnayoishi peke yenu ila hizi za kupanga uswazi kesho yake tu asubuhi saa nne mtaa mzima watakuita "BUSHOKE" aka MUME BWEGE.
 
Baba anafanya kazi Jumatatu mpaka Ijumaa, anarudi jioni amechoka mama anamuandalia chakula kama si mama dada wa kazi.

Jumamosi kuna shughuli nyingi sana za kufanya nyumbani, lakini baba anaacha pesa mjijue, anategemea mama asafishe nyumba, amfulie nguo zake pamoja na za watoto na mashuka bila kusahau mataulo.

Mama aende sokoni akafanye shopping ya wiki, apike na kumuwekea baba chakula. Jumapili pia.

Kama unaweza kumsaidia mke wako kusafisha nyumba kabla hujatoka na mfanye wote shopping. Jumapili baba akipika chakula cha familia that is romantic. Tunapenda kubembelezwa
Mimi sokoni tu naweza kwenda na kupka cku mojamoja (TANGA NI KAWAIDA)
 
Ila hamtushindi sisi tunavyopenda chakula mnachopika nyie...!!! Aisee kma mimi napenda kweli. Hasa dagaa. Anawapatia kweli huyu mwanamke. Nikigonga na ugali, saaaafi....!!!
 
hamchelewi sema mmetuweka kwenye chupa na kutupachika majina kama mume bwege,bushoke n.k
 
Sio kupika tu,tujitahidini kuwasaidia kudeki,kuosha vyombo,kwenda sokoni na kazi zingine kama hizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom