Wanaume wanapenda kwa vipande sio kitu kizima

Extrovert

JF-Expert Member
Feb 29, 2016
67,106
173,889
Jana katika pita pita zangu mitandaoni nikakutana na lile sakata la yule Bi. Mkubwa aliechezea vitasa mjini Moshi baada ya kuhusishwa na fumanizi flani.

Katika hali ambayo iliamsha hisia zangu zaidi ni mahojiano ambayo yalifanyika kati yake na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Anna Mghwira ambapo mwisho wa siku aliamua kutoa ufafanuzi flani juu ya lile tukio kama kuhitimisha.

Alisema, "Kupendwa ni haki ya kila mtu hivyo hakuna sababu ya wanawake kupiga wenzao maana kimsingi hakuna kosa kwenye kupenda. Isitoshe mwanaume huwa anapenda kwa vipande vipande (sections) na huwa hapendi mwanamke mzima. Kwako atapenda pua, kule sikio, kule macho n.k. Wanawake wamejaaliwa nguvu ya pekee ya kupenda mtu katika uzima wake hivyo ni vyema wangejifunza kuishi na hilo badala ya kuumizana."

Kimsingi naona mama Anna Mghwira ametuinua kinamna flani japo ChrisMauki alitupondea. Pia, kamaliza ule utata wa siku nyingi kuhusu wanaume kuwa haturidhiki na mke mmoja, jamani warembo sie tunapenda kipande flani tu kwa kila mwanamke na ndio maana tunahangaika kukamilisha mwili mzima. Mtuelewe tafadhali wala msipigane πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yule mama mkuu wa mkoa aliongea fact sana. Huu ndio ukweli halisi. Mathalan tunaambiwa tuwapende wake wake zetu. Yes, tunawapenda kweli kweli tena sana mpaka kufikia hatua ya kuoa ni kitu kikubw sana.

Laki n ukweli ni kwamba matamanio yangu kwa mguu wa mwanamke mwingine ambao mke wangu hana hauzuii mm kutokumpenda mke wangu. Nitachiti ila kwa staha isifike hatua akaumia kwa kujua nyendo zangu za nje. Big up mama aliyekuoa anaenjoy sana.
 
Some Tanzanians are not ready to comply with the truth they're told! They want somebody who can stand with them in a hypocritical way!!

Mama Mghwira hajatetea uhuni Wala umalaya, ila kaelezea kisomi ( kisaikolojia ) zaidi. Ukimwambia ukweli mtanzania unaonekana hufai..

Akina dada mmesikia? Akina baba nadhani tuna ruksa ya kubadilisha ladha.
 
Jana katika pita pita zangu mitandaoni nikakutana na lile sakata la yule Bi. Mkubwa aliechezea vitasa mjini Moshi baada ya kuhusishwa na fumanizi flani.

Katika hali ambayo iliamsha hisia zangu zaidi ni mahojiano ambayo yalifanyika kati yake na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Anna Mghwira ambapo mwisho wa siku aliamua kutoa ufafanuzi flani juu ya lile tukio kama kuhitimisha.

Alisema, "Kupendwa ni haki ya kila mtu hivyo hakuna sababu ya wanawake kupiga wenzao maana kimsingi hakuna kosa kwenye kupenda. Isitoshe mwanaume huwa anapenda kwa vipande vipande (sections) na huwa hapendi mwanamke mzima. Kwako atapenda pua, kule sikio, kule macho n.k. Wanawake wamejaaliwa nguvu ya pekee ya kupenda mtu katika uzima wake hivyo ni vyema wangejifunza kuishi na hilo badala ya kuumizana."

Kimsingi naona mama Anna Mghwira ametuinua kinamna flani japo ChrisMauki alitupondea. Pia, kamaliza ule utata wa siku nyingi kuhusu wanaume kuwa haturidhiki na mke mmoja, jamani warembo sie tunapenda kipande flani tu kwa kila mwanamke na ndio maana tunahangaika kukamilisha mwili mzima. Mtuelewe tafadhali wala msipigane πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
mpenzi nampendea macho yake tu mtoto akikuangalia weeeee acha kabisa,lakini X-girlfriend wangu nilimpendea chura yakeee atari sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom