Wanaume tuliooa tuepuke sana kazi za kusafiri safiri muda mrefu

Mzito Kabwela

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
18,857
7,615
Kazi za kuajiriwa au binafsi zinazohusisha kusafiri mbali na makazi ni nzuri maana zina posho na incentives nyingine kulingana na nature ya kazi au ofisi.

Lakini katika vitu vinavyochangia ongezeko la uvunjifu wa ndoa au maambukizi ya UKIMWI ni pamoja na shughuli zinazohusisha kusafiri nje ya nyumbani kwako kwa muda mrefu.

Utafiti wangu umegundua kuwa wanaume wengi wanapokuwa safarini sio waaminifu kwa ndoa zao. Mara nyingi huchepuka na hivyo kujiongezea risk ya kupata maambukizi ya UKIMWI. (Hapa haihitaji kufafanua inaeleweka)

Lakini changamoto kubwa inakuja kwa hawa wake zetu tunaowaacha nyumbani! Mwanaume unaposafiri wiki mbili au mwezi mzima uwe na uhakika hata wa 45% kuwa unagongewa. Tena hizi ndoa za wasichana wa miaka hii ambao wana ma ex hata 20 kabla hawajaolewa, wanapigwa kweli kweli.

Nimeshuhudia wadada takribani 15 ambao waume zao wana utaratibu wa kusafiri nje ya Dar kwa wiki mbili au tatu, wanawake hao wamekuwa na tabia ya kurudiana na ma ex wao kimya kimya na wanasaliti sana ndoa zao. Na ukipata bahati ya kumsikiliza mmoja wao ambaye yupo honest atakwambia "Yaani nikae wiki mbili zote bila kugongwa? Kwani nina kilema?"

Wengine sio kwamba wanaamua kwa sababu ni umalaya, bali anakuwa ameshawishiwa kiasi kwamba anashindwa kuhimili vishawishi. Kwahiyo anasubiri mume asafiri apate muda wa kutosha kufanya yake.

Hawa waliohamishwa Dodoma wakaamua kuacha wake zao ndio balaa. Wake wanachapwa kwa kasi ya kusikitisha.

MWANAUME JITAHIDI KUIPENDA FAMILIA YAKO. HAKIKISHA MUDA MWINGI UPO NAYO
 
Kusafiri sio tatizo hebu fikiria kidogo hili swala

Ndani kuna watu wamelala lakini mwizi au jambaz anakuja anaiba na anaondoka

Ukitafakar vizuri ndiyo utapata jibu kwamba kuwa mbali sio shida ni mtu kujiheshimu
 
Mzito Kabwela,
Acha uoyoyo mkuu, yaani uache kupambana na maisha na kujiimarisha kiuchumi kwa ajili ya kumlinda mwenyeuke uliye naye asimegwe!!
Hivi hao wenyeuke wa aina hiyo huwa mnawaokota wapi?
Kuna tofauti kati Mwanamke na Mwenyeuke, tatizo lenu mkiamua kuoa mnaenda kubeba wenyeuke.
 
Tumuachie Mungu tu sasa hizo kazi zenyewe zilivyo mbinde kuzipata unafikili utapata wapi kibuli cha kuchagua kazi isiwe ya masafari safari.
 
Sasa mkuu nisitafute mkate kisa naogopa kusalitiwa!!? Siwezi kumlinda mtu mzima niliekutana nae ukubwani...
 
Yaani niache kusafiri kutafuta hela ati kisa kuhofia mke ataliwa? Aliwe tu, ikiwezekana afir** tu.. Umalaya ni tabia binafs, haina sababu ya msing.. Mwanamke malaya hatuli, hata ukashnda ndan anapgwa tu..
🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️
 
Mzito Kabwela, Hii mkuu ili nifanye niwe bachelor sugu Mana mwanamke nilimwambia acha Kaz serikalin akazingua nikamwambia mm Niko mbele mbele na kuja likizo Kila baada ya miez sita au mwaka kabisa akachomoa nikapiga chini nikasema siwez pata stress za kishenz pesa nitume alafu baharia wagonge na kula pesa kirahis

Ni changamoto sana
 
Amini usiamini, kati ya wanaume wote walioa wanawake hapa dunian bs 80% wanagongewa, au waliwahi kugongewa wake zao, kwasababu mbalimbali.Kumchunga mwanamke ni kutafuta ugonjwa wa moyo.
 
Hawa waliohamishwa Dodoma wakaamua kuacha wake zao ndio balaa. Wake wanachapwa kwa kasi ya kusikitisha.
Mm najingongea mke wa mtu aliyehamishiwa Dodoma halafu mumewe kabakia Dar (bosi fulani). Mimi huwa najimilikisha mke huyu kama wa kwangu.

Na wiki juzi tulisafiri naye kwenda mkoa fulani alikoenda kwa ajili ya semina.
 
Usafiri au usisafiri,kama ni wakupigwa atapigwa nao tu pia kama ni wakichapa utachapa ileile...chamsingi ni kujiheshimu na kujitunza.
Ukiwepo ma-ex wake wanakuwa na heshima, wanaogopa. Lkn ukisafiri kwa muda mrefu wanajitwalia bure tu.
 
Wkuogope kwani wakienda kumgegeda wanakutumia clip?....tena bora wamgegede ukiwa haupo kuliko agegedwe ukiwepo....wao wanaipiga mchana wewe unalishwa makombo usiku
Ukiwepo ma-ex wake wanakuwa na heshima, wanaogopa. Lkn ukisafiri kwa muda mrefu wanajitwalia bure tu.
 
Wapo ambao hawasafiri lakini wana michepuko tangu wanapotengana pale kitandani asubuhi, ndoa inarudi muda wa kulala tuu

Mtu mzima hachungwi na tabia haina dawa
 
Kazi za kuajiriwa au binafsi zinazohusisha kusafiri mbali na makazi ni nzuri maana zina posho na incentives nyingine kulingana na nature ya kazi au ofisi.

Lakini katika vitu vinavyochangia ongezeko la uvunjifu wa ndoa au maambukizi ya UKIMWI ni pamoja na shughuli zinazohusisha kusafiri nje ya nyumbani kwako kwa muda mrefu.

Utafiti wangu umegundua kuwa wanaume wengi wanapokuwa safarini sio waaminifu kwa ndoa zao. Mara nyingi huchepuka na hivyo kujiongezea risk ya kupata maambukizi ya UKIMWI. (Hapa haihitaji kufafanua inaeleweka)

Lakini changamoto kubwa inakuja kwa hawa wake zetu tunaowaacha nyumbani! Mwanaume unaposafiri wiki mbili au mwezi mzima uwe na uhakika hata wa 45% kuwa unagongewa. Tena hizi ndoa za wasichana wa miaka hii ambao wana ma ex hata 20 kabla hawajaolewa, wanapigwa kweli kweli.

Nimeshuhudia wadada takribani 15 ambao waume zao wana utaratibu wa kusafiri nje ya Dar kwa wiki mbili au tatu, wanawake hao wamekuwa na tabia ya kurudiana na ma ex wao kimya kimya na wanasaliti sana ndoa zao. Na ukipata bahati ya kumsikiliza mmoja wao ambaye yupo honest atakwambia "Yaani nikae wiki mbili zote bila kugongwa? Kwani nina kilema?"

Wengine sio kwamba wanaamua kwa sababu ni umalaya, bali anakuwa ameshawishiwa kiasi kwamba anashindwa kuhimili vishawishi. Kwahiyo anasubiri mume asafiri apate muda wa kutosha kufanya yake.

Hawa waliohamishwa Dodoma wakaamua kuacha wake zao ndio balaa. Wake wanachapwa kwa kasi ya kusikitisha.

MWANAUME JITAHIDI KUIPENDA FAMILIA YAKO. HAKIKISHA MUDA MWINGI UPO NAYO


Mmh! We Mkaka mbona unatushusha thaman kiasi hicho wakat hii ishu ni two way Traffic. Acha upendeleo bhana kwa jinsia ya kiume na kuidhalilisha ya kike. Inamana hapo kwako wewe ukisafir huku nyuma Mkeo wanamshughulikia eeeh?
Uhalisia ni kwamba asafir mwanaume/mwanamke kama hana hofu ya MUNGU Kuzin/Kutoa burudan ni tatizo binafsi hivyo hivyo kwa yule ambaye yupo nyumban Mwanaume/Mwanamke anaweza kuchepuka pia..
 
Back
Top Bottom