nginda
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 744
- 82
Wakati huo nilikuwa natamani kuwa na G. Friend. Ishu ya kutongoza ilikuwa hivi:
Dada mambo? (Poa).
Siku hizi mnona hatuonani? (Nipo tu)
Ndo unaenda nyumbani? (Hapana, naenda kumwona rafiki yangu)
Sasa utaniruhusu nikusindikize? (twende tu)
Nyinyi si ndo mnakaa ile nyumba nyekundue? ( Hapana tunakaa nyumba yenye rangi ya blue)
Ahaa naifahamu (poa)
sasa nilikuwa natakaaaa! natakaaaaa! natakaaa! Jana sisi baba amenunua TV (hata sisi tunayo)
Yakwenu kubwa? ( ee ni inch 32)
Ok!!!!!!!
Shuleni kwenu mnatoka saa ngapi (saa tisa)
Mwalimu wetu mkali !
(unaweza kuendelea kama unakumbuka)
Dada mambo? (Poa).
Siku hizi mnona hatuonani? (Nipo tu)
Ndo unaenda nyumbani? (Hapana, naenda kumwona rafiki yangu)
Sasa utaniruhusu nikusindikize? (twende tu)
Nyinyi si ndo mnakaa ile nyumba nyekundue? ( Hapana tunakaa nyumba yenye rangi ya blue)
Ahaa naifahamu (poa)
sasa nilikuwa natakaaaa! natakaaaaa! natakaaa! Jana sisi baba amenunua TV (hata sisi tunayo)
Yakwenu kubwa? ( ee ni inch 32)
Ok!!!!!!!
Shuleni kwenu mnatoka saa ngapi (saa tisa)
Mwalimu wetu mkali !
(unaweza kuendelea kama unakumbuka)