Duuu! ndugu yetu huyo yamemkuta..na na kwa mapenzi ya mungu amebahatika kubambwa na mkewe kabla jamaa hajaharibikiwa zaidi kwa kuwekeza zaidi kwenye ngono zembe! nadhani ataadabishwa vya kutosha! Alidhani anabanjua kumbe anabanjuliwa! Big up shemeji wa ukweliHii sms jana mke wa ndugu yangu kaibamba kwenye simu ya mumewe ambaye alisevu jina la mtuma meseji kuwa anaitwa ' Mose fundi bomba':
'Mpenzi leo nimepita madukani Kariakoo.Bei ya vifaa ni hizi: Stima (500,000._), Draya(400,000.-), Stima ya fasho(200,000.-), viti (60,000.-) na sinki(600,000._). Fanya hima kesho (yaani leo) unipatie hizo pesa maana nasikia bei karibu zitapanda.Ukinipa milioni mbili na nusu zitanitosha na kununulia dawa za kuanzia.mmmmmwwwaaaa i love you,ikamalizia hiyo sms.
Wakuu timbwili linaendelea,na tatizo kubwa bi mkubwa mradi wake wa kuku umesimama mzee anasema hana hela na wanaishi nyumba ya kupanga. Kinababa haya mambo ya kuzima moto kwa jirani huku kwetu kunaungua matokeo yake ndo haya.
Nawasilisha.
'wanaume tumeumbwa mateso...kuhangaika...' alijiimbia marehemu TX Moshi William (RIP).
Mateso gani ya kujitakia na wewe? Hawara ni mke wako wa ndoa mpaka uhangaike nae hivyo?'wanaume tumeumbwa mateso...kuhangaika...' alijiimbia marehemu TX Moshi William (RIP).
Lakini kumbuka kuna theory inayosema usiweke mayai yako yote kwenye kapu moja. Nakumbuka niliambiwa na mwalimu wangu wa portfolio Analysis
Maskini!! yaleyale jana Mamaa Kigogoalikuja na thread hapa aliuliza " HIVI WANAUME MMMELOGWA" ? nadhani jibu litakuwa ndio hili.
Huu ni unyanyapaa sasa! kwanini mnawaita wanawake wenzenu nyumba ndogo? nyinyi mkiitwa majumba mabovu mtakubali?
sio kurogwa Laura,ni mapungufu tu ya kibanadamu,si unajua mwanaume ana vichwa viwili na kimoja wakati kinafanya kazi kingine huwa 'offline'?
[h=6]PEOPLES!!!!!!!!!!!!!!!!!!
when u are single people ask about boyfriend/girlfriend
when u hv fiance,they ask about wedding
when u are married,they ask about a baby
when u hv a baby,they ask for more babies
when u break up/divorced,they ask WHY!!!?
PEOPLES!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!![/h]Hili mwanaume aepuke maswali mengi do
Hapo kwenye red:Bishanga abbashaija!Kweli ndugu yako hana maana.Na hao wadada wanaopenda vitu vikubwa ni hatari hakimaliza tu kununua hivyo vitu na penzi ndo kwisha kabisa.[COLOR=#ff0000 said:Bishanga[/COLOR];2563422]Hii sms jana mke wa ndugu yangu kaibamba kwenye simu ya mumewe ambaye alisevu jina la mtuma meseji kuwa anaitwa ' Mose fundi bomba':
'Mpenzi leo nimepita madukani Kariakoo.Bei ya vifaa ni hizi: Stima (500,000._), Draya(400,000.-), Stima ya fasho(200,000.-), viti (60,000.-) na sinki(600,000._). Fanya hima kesho (yaani leo) unipatie hizo pesa maana nasikia bei karibu zitapanda.Ukinipa milioni mbili na nusu zitanitosha na kununulia dawa za kuanzia.mmmmmwwwaaaa i love you,ikamalizia hiyo sms.
Wakuu timbwili linaendelea,na tatizo kubwa bi mkubwa mradi wake wa kuku umesimama mzee anasema hana hela na wanaishi nyumba ya kupanga. Kinababa haya mambo ya kuzima moto kwa jirani huku kwetu kunaungua matokeo yake ndo haya.
Nawasilisha.
Duuu! ndugu yetu huyo yamemkuta..na na kwa mapenzi ya mungu amebahatika kubambwa na mkewe kabla jamaa hajaharibikiwa zaidi kwa kuwekeza zaidi kwenye ngono zembe! nadhani ataadabishwa vya kutosha! Alidhani anabanjua kumbe anabanjuliwa! Big up shemeji wa ukweli
Umeona eeh?..Toba weee! Nyumba ndogo kweli wanafaidi.
Husninyo,una uhakika humu mmu hakuna mdau mwanamke ambaye ni hawara?