Wanaume tukome kuwekeza kwa mahawara!

Maskini!! yaleyale jana Mamaa Kigogoalikuja na thread hapa aliuliza " HIVI WANAUME MMMELOGWA" ? nadhani jibu litakuwa ndio hili.
 
Hii sms jana mke wa ndugu yangu kaibamba kwenye simu ya mumewe ambaye alisevu jina la mtuma meseji kuwa anaitwa ' Mose fundi bomba':
'Mpenzi leo nimepita madukani Kariakoo.Bei ya vifaa ni hizi: Stima (500,000._), Draya(400,000.-), Stima ya fasho(200,000.-), viti (60,000.-) na sinki(600,000._). Fanya hima kesho (yaani leo) unipatie hizo pesa maana nasikia bei karibu zitapanda.Ukinipa milioni mbili na nusu zitanitosha na kununulia dawa za kuanzia.mmmmmwwwaaaa i love you,ikamalizia hiyo sms.

Wakuu timbwili linaendelea,na tatizo kubwa bi mkubwa mradi wake wa kuku umesimama mzee anasema hana hela na wanaishi nyumba ya kupanga. Kinababa haya mambo ya kuzima moto kwa jirani huku kwetu kunaungua matokeo yake ndo haya.
Nawasilisha.
Duuu! ndugu yetu huyo yamemkuta..na na kwa mapenzi ya mungu amebahatika kubambwa na mkewe kabla jamaa hajaharibikiwa zaidi kwa kuwekeza zaidi kwenye ngono zembe! nadhani ataadabishwa vya kutosha! Alidhani anabanjua kumbe anabanjuliwa! Big up shemeji wa ukweli
 
'wanaume tumeumbwa mateso...kuhangaika...' alijiimbia marehemu TX Moshi William (RIP).

Ila sio haya bana mengine ni ya kujitakia kabisa
We mkeo na watoto wanallalia dagaa nyumbani kama msosi ila nyumba ndogo inakula kuku
 
Lakini kumbuka kuna theory inayosema usiweke mayai yako yote kwenye kapu moja. Nakumbuka niliambiwa na mwalimu wangu wa portfolio Analysis

Hebu fafanua kidogo juu ya hiyo theory...
 
Maskini!! yaleyale jana Mamaa Kigogoalikuja na thread hapa aliuliza " HIVI WANAUME MMMELOGWA" ? nadhani jibu litakuwa ndio hili.

sio kurogwa Laura,ni mapungufu tu ya kibanadamu,si unajua mwanaume ana vichwa viwili na kimoja wakati kinafanya kazi kingine huwa 'offline'?
 
[h=6]PEOPLES!!!!!!!!!!!!!!!!!!
when u are single people ask about boyfriend/girlfriend
when u hv fiance,they ask about wedding
when u are married,they ask about a baby
when u hv a baby,they ask for more babies
when u break up/divorced,they ask WHY!!!?
PEOPLES!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!![/h]Hili mwanaume aepuke maswali mengi do
 
[h=6]PEOPLES!!!!!!!!!!!!!!!!!!
when u are single people ask about boyfriend/girlfriend
when u hv fiance,they ask about wedding
when u are married,they ask about a baby
when u hv a baby,they ask for more babies
when u break up/divorced,they ask WHY!!!?
PEOPLES!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!![/h]Hili mwanaume aepuke maswali mengi do

live and let live....
 
[COLOR=#ff0000 said:
Bishanga[/COLOR];2563422]Hii sms jana mke wa ndugu yangu kaibamba kwenye simu ya mumewe ambaye alisevu jina la mtuma meseji kuwa anaitwa ' Mose fundi bomba':
'Mpenzi leo nimepita madukani Kariakoo.Bei ya vifaa ni hizi: Stima (500,000._), Draya(400,000.-), Stima ya fasho(200,000.-), viti (60,000.-) na sinki(600,000._). Fanya hima kesho (yaani leo) unipatie hizo pesa maana nasikia bei karibu zitapanda.Ukinipa milioni mbili na nusu zitanitosha na kununulia dawa za kuanzia.mmmmmwwwaaaa i love you,ikamalizia hiyo sms.

Wakuu timbwili linaendelea,na tatizo kubwa bi mkubwa mradi wake wa kuku umesimama mzee anasema hana hela na wanaishi nyumba ya kupanga. Kinababa haya mambo ya kuzima moto kwa jirani huku kwetu kunaungua matokeo yake ndo haya.
Nawasilisha.
Hapo kwenye red:Bishanga abbashaija!Kweli ndugu yako hana maana.Na hao wadada wanaopenda vitu vikubwa ni hatari hakimaliza tu kununua hivyo vitu na penzi ndo kwisha kabisa.
 
Duuu! ndugu yetu huyo yamemkuta..na na kwa mapenzi ya mungu amebahatika kubambwa na mkewe kabla jamaa hajaharibikiwa zaidi kwa kuwekeza zaidi kwenye ngono zembe! nadhani ataadabishwa vya kutosha! Alidhani anabanjua kumbe anabanjuliwa! Big up shemeji wa ukweli

mwonee huruma ndugu yangu,yuko katika kipindi kigumu maana shemeji utadhani faru aliyejeruhiwa.
 
Hakuna tatizo kabisa, hiyo pesa inayoombwa ni ya kufungulia mradi, amewezeshwa kujiajiri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom