Wanaume tujitambue

Wanaume tujitambue

Mbalamwezi1

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
2,073
Reaction score
2,027
Kwenu wanaume wote wa Dar, mikoani na dunia nzima. Swallama?

Mwanaume huna haja ya kugombana na mwanamke kisa mapenzi, kumbuka:
1. Wanawake ni wengi kuliko wanaume, hivyo usihangaike na mwanamke anaekusumbua, kama anakuzingua tafuta mwingine tena mkali kuliko yeye!
2. 'Life span' ya mwanaume ni ndogo kuliko ya mwanamke, hivyo kuendelea kung'ang'ana na mwanamke anayekusumbua ni sawa na kuendelea kujichelewesha kuendelea kufaidi watoto wengine wazuri wa kike ambao wamekuzunguka.
3. Mwanamke ni 'bidhaa' inayoshuka thamani kwa kasi kuliko mwanaume, hivyo mwanamke akikuletea nyodo we mwache kiroho safi tu, tafuta mrembo mwingine songesha maisha mpe miaka michache tu kwisha habari yake.
4. Watoto wazuri wa kike wanazaliwa kila siku, jikite katika kutafuta maisha (pesa) utakamata mtoto wa kike wa rangi na shepu yoyote unayoitaka.
5. Ni mwiko kwa mwanaume rijali na anayejiamini kulazimisha mapenzi kwa mwanamke ambae anaonesha kutomuhitaji.
6. KUMBUKA: Wanawake tumeumbiwa sisi wanaume (rejea uumbaji wa Mungu baada ya kumuumba mwanaume) na ndo maana Mungu amefanya wawe wengi kuliko wanaume ili wanawake na wanawake wasitusumbue(mwanamke akikuzingua achana nae bila ugomvi kamata mtoto mwingine twenze)

NAWASILISHA! NAKARIBISHA

Sikiliza Toka Kwangu!
 
Mbaramwezi au mbalajua

Sent from my itel it1516 Plus using JamiiForums mobile app
 
pole kwa watoto wako..maana hawana la kujifunza kutoka kwako..
 
Andika mwanaume nijitambue...
Naona unatumia uzoefu wako kuwakilisha wanaume dunia nzima kwa ujinga.
 
Pole sana naona umeamua kutumia nguvu kubwa sana kujifariji,bila shaka kuna mwanamke kaamua kukutosa ndio maana unajipa moyo,unayajua mapenzi wewe? unaweza ukapenda mwanamke na ukamuona anakufaa na hakuna wakumreplace! hujayajua mapenzi yakweli bado.
 
Pole sana naona umeamua kutumia nguvu kubwa sana kujifariji,bila shaka kuna mwanamke kaamua kukutosa ndio maana unajipa moyo,unayajua mapenzi wewe? unaweza ukapenda mwanamke na ukamuona anakufaa na hakuna wakumreplace! hujayajua mapenzi yakweli bado.
Form six leaver huyo bila shaka......akikua atajijibu mwenyewe hayo yote.
 
Tumeumbiwa sisi kwaajili ya nini? Kwaajili ya kufanya nao mapenzi au kwaajili ya kuwapenda? Kwanza lazima utambue kufanya mapenzi na kupenda ni vitu viwili tofauti.
 
Endelea na mawazo yako mgando.

Wenzio kila kukicha wanapata maendeleo kutokana na mahusiano yaliyodumu.
 
pole kwa watoto wako..maana hawana la kujifunza kutoka kwako..
Kwani alokwambia mi nna watoto au nina mpango wa kuwa na watoto nani?!U-SHILAWADU tu unakusumbua[emoji12]

Sikiliza Toka Kwangu!
 
Basi sawa
fbf883b3438b12b6d0efb8bb23c5193e.jpg


Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Kwa muujibu wa wewe... Upo sahihi sana...

Uvumilivu una kikomo chake... Usinganganie sana wala usikubali kushindwa kwa urahisi sana pia...

Misinamo thabaiti.. Ushindi daima... Amani itawale...



Cc: mahondaw
 
Aisee! Naona umewachukulia wanawake kirahisi sana mkuu.
 
Back
Top Bottom