Wanaume tujitafakari sana

JF usipotumia akili yako unapotea (pretender ni wengi mno)
Nashangazwa sana na wanaomshangaa mtoa mada huku miezi mitatu iliyopita walikuwa wanalalamikia makato ya tozo na bundle kupanda bei,kwenye nyuzi za madem wanaopenda pesa utawakuta tena wana sulubu vibaya sana.
Leo hii 80k inaonekana ndogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Asilimia 90 ya waTz wanaishi chini ya dola moja
usiforce tufanane.
 
Waongo hawana hivyo vyote wana kimoja kimoja

Mfano mimi nina degree
Sina nyumba
Sina gari

Ni mmachinga hardcore muhuni wa Manzese

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hii pesa ningeisave je? Au familia yang ingefaidi km ningewapa.

Familia yako wasingekupa papuchi mkuu..

Papuchi na Pombe huwa haviendi sawa kabisa na wanaotumia hela kwa mawazo..

Jitafakari mkuu.. acha anasa tafuta hela.
 
80000?? Ndo inakupa mawazo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji706]
 
80k nyingi ,ukiamua kujifanya unazo unatoa bt mungu aliwapa wanawake busara sana,anayehonga gari na atayehonga just diary wote wanaelekea kule kule south tena bila stop watch ,
 
Ndio ajue kuwa ukitombi ni kuzika hela kwenye mbususu.
 

Ongeza bidii kwenye harakati zako za kutafuta pesa...
kwanza hutokua na muda wa kukaa na kifanya mapenzi kwa siku mbili mfululizo
Pili, hutaona shida ku spend 100k kwajili ya kitu roho inapenda..


Tafuta pesa mwanawane
 
Hiyo pesa ni kubwa mno mkuu umefanya makosa, Nipesa ya kununulia Nusu baloo ya nguo za watoto zenye ubora wa class B. Kwa msimu huu wa sikukuu ungepiga faida ndefu sana, sema wenye hera hawana akili na wenye akili hawana hera.
 
Hii 80 inayokunyima raha mkuu ni hii hii ya kitanzania ya noti 8 za teni-teni?

Umeshalala na mtoto wa watu siku 2 unamtumia asubuhi, mchana na usiku kweli unalalamika mkuu?

Wewe mapenzi hayakufai, jikite kwenye nyeto mkuu hautajuta.
Tulia mkuu,hayo ni majuto ya kawaida ambayo kila mwanaume hupitia baada ya kupiga mabao kadhaa.Subiri nyege zikupande tena ndio utajuwa faida ya uwekezaji uliofanya.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…