Wanaume tujihadhari sana na wanawake!

Tupe huo mkasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sad story......pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubinafsi ubinafsi ubinafsi ni chanzo kikubwa cha mifarakano katika mahusiano ya ndoa. Siongei kwa ubaya ila wanaume wanamaono sana na sio wabinafsi katika kujali hisia. Mungu atusaidie katika hili ila daaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya makosa makubwa mnayoyafanya wanawake ni kumwambia mwanaume ajitambue, hili ni kosa kubwa sana, ni maagizo ya MUNGU kwamba mwanamke imempasa kumheshimu mwanamme, hili ni agizo na halina discussion, kumwambia mtu ajitambue ni kumvunjia heshima, mwanaume ndie kichwa cha familia, mjiepushe kuwatamkia wanaume maneno yenye kuudhi ili kuifanya Dunia hii mahala salama pa kuishi, ukimchukiza mwanaume unamchukiza MUNGU pia
 
Haya mambo ukijua wazee wako walifanya nini haiwezi kusumbua. Tukumbuke sisi ni matokeo ya maisha ya kale sasa tukienda tofauti na taratibu za kale lazima tupate tatizo mahali


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
we rijamaa ni riILLUMINATI
 
Wewe ndio wale mliodanganywa kuwa mwanaume ana roho ya chuma. Mwanaume ni binadamu kama wewe, anahisi maumivu kama viumbe wengine. Halafu sio lazima upinge kila kitu kinachozungumzwa kuhusu jinsia fulani kwasababu tu upo katika jinsia hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjihadhari kivipi? Wanawake walikuwepo, bado wapo na wataendelea kuwepo. Cha kuchekesha zaidi hamuwezi kuishi bila wanawake
 
Kumbe suala la ubinadamu mnalijua[emoji134][emoji134]
Thot nyie ni malaika!!!!
Nawe usipinge kila linalozungumzwa kuhusu jinsia yako.
Sijawahi pinga na sitokaa pinga au kutetea makosa kwasababu tu mkosaji ana jinsia kama yangu. Kosa ni kosa haijalishwi aliyelitenda rangi gani au jinsia gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana sister. Imenigusa sana hii story
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…