Mama atabaki kuwa mama! Ila kuna wamama mkwe ni hatari, kila kukicha kumsimanga mka mwana eti ' unakula pesa ya mwanangu, mm nisingemzaa ungempata wapi? ' hayo nimeyashuhudia kwa shoga yangu! Mka mwana kaamua kumuachia mama mwanawe kakaa kando kwanza! Wamama tuwe na huruma na wake wa watoto wetu maana na wao wamezaliwa!