Hahahaaaa! Mmejichamba wenyewe, mie nimekolezea tu.
kumbe hapo umekoleza tu, umetunyooshaje
Hahahaaaa! Mmejichamba wenyewe, mie nimekolezea tu.
Wanasemaga mtoto kwa mama hakui. Haya msalimie mama naona mshua unamcheki weekend kwa weekendKudeka nishaachaga zamani sana. Mimi ni mtu mzima sasa. Basi tu imetokea imekuwa hivyo.
Wanasemaga mtoto kwa mama hakui. Haya msalimie mama naona mshua unamcheki weekend kwa weekend
Dah!! Mimi wazazi wangu sijui hata cha kuwapa. Kwa sababu wanajiweza mara mia yangu.
Upendo pesa na mali sio ishu.
Ni kweli mtoto kwa mama hakui, ndiyo maana na ukubwa wote huu bado kila siku jioni hunicheki. Na kumwambia msalimie baba. Baba namcheki mwenyewe kumpa salamu. Ukiona baba ananipigia basi utamsikia njoo nyumbani kesho. Nikienda utasikia vipi maisha. Haya weka hii mfukoni.
Daah wee kwenu umezaliwa pekeyako? Mie kwetu ni mtoto wa kike wa pekee ila sidekezwi hivo sijui kwa ajili ya ununda wangu....
That's good nakuonea raha haya usiku mwema.
Sawa....Mama nae si ana mpenzi wake, wanunuliane kwa level yao.
Hiyo difference ndo inasababisha usimnunulie?
Halafu unifundishe ung'eng'e naona mwenzangu uko vizuri sekta hii, loh!
Usimnunulie nani nini? Hapa anaongelewa mama, nimejaribu kukuonyesha how a kid is cloz to mom than dad, sasa wewe waweza pia kumuongelea baba kwa jinsi yako, au kufungua uzi wa baba kabisa, teh teh teh teh!! Thats nature maaaan! Huoni hata nyimbo za mama ni nyingi kuliko za baba(km zipo) sasa waweza jiuliza why? Na kwakuwa wewe ni baba najua lazima utapata majibu.
''sometimes you look back at the girls you spent money on instead of your mum and you realise witchcraft is real'' ~ Robert Mugabe
Tupo wawili tu. Mimi na pacha wangu wa kike.
Yaani nawaonea raha hadi wivuuu. So cute.