Wanaume tuache ubwege

Wanaume tuache ubwege

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,508
Reaction score
13,974
attachment.php

Kuna idadi kubwa ya wanaume tumekuwa kama tumeshikwa akili na wanawake/mademu maana maisha yanatupiga ila demu akiomba kitu uko radhi kuiba ili yeye afurahi,mtu anamnunulia simu au nyumba mwanamke wake wakati hata mama yake mzazi hajawahi kumpa hiyo ofa.

Nashauri tufikirie upya maamuzi yetu,tusijeonekana mabwege na kupata mikosi kwa kutowajali wazazi/mama zetu inavyostahili.

Hata kama umenogewa na u.c.h.i jali kotekote wazazi/mama na mkeo/mchepuko.
Naamini mwaka ujao wanaume tutabadilika zaidi.
 

Attachments

  • Hii kali.jpg
    Hii kali.jpg
    23.7 KB · Views: 5,681
Usisahau kwamba mademu wanachezea kichapo cha hatari !!ie mbuzi kagoma kwenda and the like
 
Usisahau kwamba mademu wanachezea kichapo cha hatari !!ie mbuzi kagoma kwenda and the like

Hahaha kaka umenichekesha balaa...ila kweli maana vichapo tunavyowapaga ni balaaa ukiwaza jinsi unavyompindua pindua mtoto wa watu wacha tuu apate hiyo iphone
 
Dah!! Mimi wazazi wangu sijui hata cha kuwapa. Kwa sababu wanajiweza mara mia yangu.
 
Kumbe mnajijua kuwa ni mabwege!! Thats goood, Utaona sasa watavyo jichetua humu kuwa hawafanyi hayo, as if wafanyao hayo wanatokea mars, laana zingine mmejitengenezea wenyewe na bado zitawatafuna sn, you may not see it ila inawakula haswaaa, love your mothers maana haitotokea uwe na mama mwingine zaidi yake.
 
Duuh.. Ila kweli bwana smtymes inakua too much tunajisahau sana.. Mambo ya mahaba niue haya daah
 
Naona mnaongelea mama tu, na baba vepee?
 
Kama wewe unamuhonga iphone mke/mume wako basi acha wanao nao wawaonge wapenzi wao usitake mzazi uhongwe na mzazi mwenzio af na mtoto tena akuhonge
 
Mama hunipigia simu kila siku saa kumi na moja jioni. Baba nampigia kila weekend... bila kukosa.

Oooh I can see mother's love to the son...... so sweet basi unadekaa
 
Kumbe mnajijua kuwa ni mabwege!! Thats goood, Utaona sasa watavyo jichetua humu kuwa hawafanyi hayo, as if wafanyao hayo wanatokea mars, laana zingine mmejitengenezea wenyewe na bado zitawatafuna sn, you may not see it ila inawakula haswaaa, love your mothers maana haitotokea uwe na mama mwingine zaidi yake.

nimekupa like ya kutuchamba bila soni wala aibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom