IKARAHANSI
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 398
- 479
- Thread starter
-
- #21
Ukitaka kuwaelewa wote hutaweza na utaishia kujichosha. Tafuta mmoja ndio uanze kuelewana nae, mkishindwa kuelewana muache tafuta mwingine. ni na imani ukiwa na akili yenye utulivu utapata tu wa kukuelewa na wewe utamuelewa.hawaeleweki hao viumbe
Wote tuna akili, tofauti ni matumizi tu.Afadhali wenye akili bado mpo.
Ahsante kushukuru, karibu nawe utie neno.Ahsante
Mkuu heri ya mwaka mpyaKuna watu watakuwa wavivu kusoma huu uzi!
[emoji3][emoji3]hawaeleweki hao viumbe
Pia siri ni moja wanawake wanataka mwanaume mwenye Command kidogo sio mwanaume unalambalamba icecream kipumbavu halafu unataka umuongoze mwanamke hakuna anaekubali fuatilia hilo.Chief umeongea ukweli kabisa, Vijana wengi wa kiume wamekuwa laini na utandawazi umewadumaza kwa kuwaaminisha kuwa eti, ulaini na kulia lia mbele za wanawake ndio usasa na kwenda na wakati. Lakini kiukweli Wanawake wanaojielewa wanataka kuwa na mwanaume mgumu na imara anayejiamini anayeweza kuonyesha dira nani wapi familia inatakiwa kwenda.
Mwanamke anajivunia kuwa na mwanaume anayejua mahitaji yake na kuyahangaikia hata kama atakwama lakini juhudi zionekane.
Mkuu umenijuaje ?Kuna watu watakuwa wavivu kusoma huu uzi!
Kama umeniona mawaidha kuhusu kutafuta pesa mimi nmeshaanza kutekelezaKuna watu watakuwa wavivu kusoma huu uzi!
Kuna watu watakuwa wavivu kusoma huu uzi!
Kuna ka ukweli hapaUkitaka kumjua mwanamke zijue tabia za Paka, wanawake wote duniani wana tabia kama za Paka, ndio Paka huyu huyu Nyau.
wewe kaa mchunguze Paka utazijua tabia za wanawake.
Chief, kuzalisha kwa asili ni lazima mwanaume usimamishe "ukuni" hizo nyingine hutumika baada ya ukuni kushindwa kazi!!Siku hizi kuzalisha sio lazima usimamishe ukuni.