Wanaume tuache kujiendekeza

Wanaume tuache kujiendekeza

Chief umeongea ukweli kabisa, Vijana wengi wa kiume wamekuwa laini na utandawazi umewadumaza kwa kuwaaminisha kuwa eti, ulaini na kulia lia mbele za wanawake ndio usasa na kwenda na wakati. Lakini kiukweli Wanawake wanaojielewa wanataka kuwa na mwanaume mgumu na imara anayejiamini anayeweza kuonyesha dira nani wapi familia inatakiwa kwenda.

Mwanamke anajivunia kuwa na mwanaume anayejua mahitaji yake na kuyahangaikia hata kama atakwama lakini juhudi zionekane.
Pia siri ni moja wanawake wanataka mwanaume mwenye Command kidogo sio mwanaume unalambalamba icecream kipumbavu halafu unataka umuongoze mwanamke hakuna anaekubali fuatilia hilo.

Mwanaume uwe comando kidogo, ukisema njoo ni njoo sitaki na usirudie tena uwe unamaanisha kweli hutaki, utaona utakavyoheshimika bila kusahau uwe mtafutaji usikae kizembe
 
Kuna mtu anauliza hapa "Hawa wanawake wanaoongelewa hapa ni tofauti na wale wa makongamano ya ukombozi wa mwanamke na nyumba yakee?"

Comment isindikizwe na nyimbo ya Ghatto-Mamah!.
 
Bora umewaeleza ukweli wale Wanaume wanaosemage ukiona unaelekea kumwelewa Mwanamke jua unakaribia kufa, kumbe wao ndio hawaeleweki hawajui kusimama kama Wanaume/viongozi katika familia zao.
 
Back
Top Bottom