Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,334
- 7,868
- Thread starter
- #361
Mbona wanawake wengi ndio wako hivyo siku hizi(kwa sauti yako)Ukiona mwanamke yupo hivyo ujue Ni hamnazo au hakukupenda.
Mwanamke mwenye malengo dhabiti ya mahusiano na ndoa,hawezi kufanya hivyo.
Wanaofanya hivyo Ni wale wahuni,walio na malengo ya kuchuma pesa kupitia kwa mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app