Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Enyi wanaume, haijalishi unapenda kiasi gani na huyo mwanamke, awe demu wako, au girlfriend wako, au mchumba wako na hata akiwa mkeo, kamwe usije kumwambia Siri za baba yako na mama yako, hasa zikiwa mbaya, yaani mapungufu.
Kuna siku moja atakuja kukusema vibaya wewe, ama kwa marafiki zake, au kwa nduguze, au mtandaoni kuhusu madhaifu ya wazazi wako. Wanawake kwao wanachukulia Siri hasi, Kama silaha ya maangamizi kukuumiza wewe mkiwa na migogoro.
Usiamini kwamba unapendwa, angalia pia na pochi lako, ukiona pochi lako linaanza kupungua, ongeza upendo kwa mkeo, mpakie na vumbi la Congo kumdatisha, tumia akili ya ziada, lakini kamwe usimpe nafasi ya kuwajua kwa undani wazazi wako
Kuna siku moja atakuja kukusema vibaya wewe, ama kwa marafiki zake, au kwa nduguze, au mtandaoni kuhusu madhaifu ya wazazi wako. Wanawake kwao wanachukulia Siri hasi, Kama silaha ya maangamizi kukuumiza wewe mkiwa na migogoro.
Usiamini kwamba unapendwa, angalia pia na pochi lako, ukiona pochi lako linaanza kupungua, ongeza upendo kwa mkeo, mpakie na vumbi la Congo kumdatisha, tumia akili ya ziada, lakini kamwe usimpe nafasi ya kuwajua kwa undani wazazi wako
