Pesa ndio ndugu yako wa kwanzaJaman vijana kwa wababa na watoto mnaosoma kila mtu apambane kwa nafasi aliyonayo pesa tutafute PESA PESA NDO KILA KITU
Wewe wa kiume?Kabisa tutafute pesa
Wewe wa kiume?
Zimepotelea wapi dingii....??Jaman vijana kwa wababa na watoto mnaosoma kila mtu apambane kwa nafasi aliyonayo pesa tutafute PESA PESA NDO KILA KITU
Endelea kunijibu kwa jeuri uone kama utapata mchumba wa kukufaa...Kwani wa kike hawatafuti ela
Endelea kunijibu kwa jeuri uone kama utapata mchumba wa kukufaa...[/
Nimeacha usije ghairi na hivi mko wachache
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aisee kila mtu ana changamoto binafsi, ikiwa wengine ni hela wengine ni waume wengine ni watoto acha tu japo pesa ndio inashika hatamu katika vyote kama changamoto kuu.kuna mwanamke ana hela sana ila hana mwanaume akija kusoma huu ujumbe wa pesa ndo kila kitu anakustaajabu.
Mtafute Mungu sana na mengine mtaongezewa