Wanaume njooni mfunguke.

haya wanaume wa dar kazi kwenu sasa tiririkeni!!!!
 
Hupendi mafanikio ya dada yako .....una roho mbaya ....sana akishavirigwa asubuhi yake inatakiwa unampa pole alaa!
 
Hupendi mafanikio ya dada yako .....una roho mbaya ....sana akishavirigwa asubuhi yake inatakiwa unampa pole alaa!
Hahaaa bora niwe na liroho langu libaya Mkuu ila sipo tayari kushuhudia utamu wa Dada yangu
 
Unakaa kwa dadako unamnyima uhuru wa kuvaa kanga moko sebuleni umekomaa na tamthilia za kikorea......Mwisho dada anaamua kujiachia hvohvo...
Hii ndo point ya msingi, unamnyima kabsa uhuru wa kujiachia ndani/ sebureni kwake akiwa anampokea mumewe
 
Shida ni pale shemeji anapomgonga sister wako usiku nzima...unatamani aongeze mahari...hafu wewe huna hata mia...hapo mahousemaid ndo kimbilio lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…