Wanaume Nisaidieni


Hua tunataka hicho ambacho akitupatia tu tunaanza hayo uliyoyasema. Teh!
 

Nakuambia kutokana na experience mtoto. Kuna mmoja nilipiga mara moja. Mhhhhh. Mpaka kesho hajui kwanini sikupiga ya pili na kwanini namkwepa kila akinitafuta faragha since 2012.

Najisikia vby kwani before that tulifanya romance sana na alikuwa mzuri kwenye hilo la udenda ila duh, kwenye 6x6 ni sifuri sitaki tenaaaaaaaaa!
 
Hahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa............,Kiukweli wanawake ni wataalamu wa ubinafsi sana na wanataka kumtawala mwanaume pia kujifanya wangu na kujifanya wepesi kila pasipo hitajika. Wanaume wamegawanyika katika sehemu mbili na nimbilituu,wanaotaka kusumbuliwa ndio wapewe na wanao taka kukubaliwa wapatapo nafasi,tatizo kwa wasichana huwa wanakuwa tofauti pale pa haraka wanafanya taratibu na pataratibu wanafanya haraka kutowa maamuzi.Mwisho wa siku ngoma ndio hiyo wanakuwa wa kwanza kulalamika. Ukitongoza ukaacha na kuanza pengine yeye ndio anakuja kujilainisha ukipiga na kuacha unalaumiwa!!!!!!!........
 
Halinihusu hata kidogo........hebu songa mbele utawakuta watoto wa vyuo wana majawabu........:A S 465:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…