Wanaume nijibuni..

kwani ukipenda cocacola huwa upati kiu kunywa pepsi maramojamoja?
 
haya maisha hayana formula kabisa, but all in all original is the best
mchepuko is just a spare tire
Yes, na wengine huwa wana status zote mbili... Huku njia kuu na huku mcheps...
 
Dada wanaume wote duniamzima wako hivyo yani hayupo mwanaume ambae anaetosheka na mwanamke mmoja tu..! never...
 
hahahahhahaha yaani dunia imeisha kabisaaa
cjui tuwaiteje hawa, orimchepuko
Halafu cha ajabu wote tunakataa... Yaani ukisikiliza watu wanavyokataa, unaweza ukadhani hakuna michepuko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…