Penda chako mama kula duduKwamba hamkukubaliana kutuombea tudumu nao tukipendana? Vibaya hivyo jamani!
Mimi hata tahadhari sina, nampendaaaa!
Tatizo nanyi hamjui jinsi mnavyokatisha tamaa. Mara nyingi wanaume tunakuwa wavumilivu wakati nyie mnapokuwa hamjielewi, tukishindwa tunaachia. Tukiachia mnaanza kutuita wadudu.Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?